Una james nje na gusto unaenda kuanzisha Disasi pembeni.Kwanza mie nikili tu kocha nae anazingua sana ndio maaana kuna wakati tunasema uwezo wake kma wa arteta ww hata mie nilie sijasoma ukocha nilipoona kikosi tu nikasema hapa tunafungwa na kweli tumewkwa
Halafu alie masjili Disasi aliona nni kwani
Makosa ya wazi sana watu mpira haifiki mbele na Chelsea tukicheza na timu zinazo kaba na kuziba njia hatufanyi lolote
Mkuu Ipswich town kwa matokeo ya nje ya uwanja ilikuwa mechi nyepesi sana hiyo, ndio maana kapanga hicho kikosi.angekuwa anacheza na Liverpool asingepanga hivyo.Una james nje na gusto unaenda kuanzisha Disasi pembeni.
Mbele kule umejaza namba kumi watatu
Palmer, felix na nkunku.
Nikaangalia kikosi nikasema hapa sijui..! dkk kumi tu za mwanzo nikajua hapa hatushindi.
Yaani ni kama kocha kafanya kusudi kabisa tupoteze.
Tumeshapoteza point 4 kwenye match mbili zilizopita hii sababu yako ya kitoto mno.. Ilikuwa ni match ya kuja full mkoko kupata point bila kujali udhaifu wa mpinzani.Mkuu Ipswich town kwa matokeo ya nje ya uwanja ilikuwa mechi nyepesi sana hiyo, ndio maana kapanga hicho kikosi.angekuwa anacheza na Liverpool asingepanga hivyo.
Wachezaji wenu wanatembea sana uwanjani.
😂😂😂Haya bhana, muwe na usiku mwema 😭
Tunalia kupoteza point ubingwa sisi tunajua bado.. tumeawaachie nyie mpambanie ubingwa.Poleni. Acheni kulia lia hampo title race
Hapo sawaTunalia kupoteza point ubingwa sisi tunajua bado.. tumeawaachie nyie mpambanie ubingwa.
Mkuu embu tulia na kunywa maji, Sanchez angekuwepo unafikiri kuna kitu cha maana kingebadilika?Kuna siku nilisema sanchez mzuri sana kuliko hiko kitoto kma tunaingia kwenye conference kweli
Ww ndio unatoa hela ya kununua wachezaji? 🤣January tusajili mabeki wa kazi kiungo mshambuliaji tutafute mwingine palmer siku akipata jeraha itakua noma disasi,felix,madueke,fofana uza wote hawana mchango