Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwanza mie nikili tu kocha nae anazingua sana ndio maaana kuna wakati tunasema uwezo wake kma wa arteta ww hata mie nilie sijasoma ukocha nilipoona kikosi tu nikasema hapa tunafungwa na kweli tumewkwa
Halafu alie masjili Disasi aliona nni kwani
Makosa ya wazi sana watu mpira haifiki mbele na Chelsea tukicheza na timu zinazo kaba na kuziba njia hatufanyi lolote
Una james nje na gusto unaenda kuanzisha Disasi pembeni.


Mbele kule umejaza namba kumi watatu

Palmer, felix na nkunku.


Nikaangalia kikosi nikasema hapa sijui..! dkk kumi tu za mwanzo nikajua hapa hatushindi.

Yaani ni kama kocha kafanya kusudi kabisa tupoteze.
 
Una james nje na gusto unaenda kuanzisha Disasi pembeni.


Mbele kule umejaza namba kumi watatu

Palmer, felix na nkunku.


Nikaangalia kikosi nikasema hapa sijui..! dkk kumi tu za mwanzo nikajua hapa hatushindi.

Yaani ni kama kocha kafanya kusudi kabisa tupoteze.
Mkuu Ipswich town kwa matokeo ya nje ya uwanja ilikuwa mechi nyepesi sana hiyo, ndio maana kapanga hicho kikosi.angekuwa anacheza na Liverpool asingepanga hivyo.

Wachezaji wenu wanatembea sana uwanjani.
 
kwahiyo mwisho wa siku tumemzidi City point 4 tu.Tupambanie top 5.
20241226_160602.jpg
 
Mkuu Ipswich town kwa matokeo ya nje ya uwanja ilikuwa mechi nyepesi sana hiyo, ndio maana kapanga hicho kikosi.angekuwa anacheza na Liverpool asingepanga hivyo.

Wachezaji wenu wanatembea sana uwanjani.
Tumeshapoteza point 4 kwenye match mbili zilizopita hii sababu yako ya kitoto mno.. Ilikuwa ni match ya kuja full mkoko kupata point bila kujali udhaifu wa mpinzani.
 
Kuna siku nilisema sanchez mzuri sana kuliko hiko kitoto kma tunaingia kwenye conference kweli
Mkuu embu tulia na kunywa maji, Sanchez angekuwepo unafikiri kuna kitu cha maana kingebadilika?
Timu zimeshajifunza namna ya kucheza na sisi haswa ukizingatia mawinga tulionao sio wafungaji na pili tukishapoteza mpira opponent wanaatack eneo la full backs walioingia katikati kushambulia na kufanya madhara
Kuna muda ratiba ilitubeba na ukizingatia tunacheza conference league hivyo angalau key players walikuwa wanapata muda wa kupumzika sasa zilivyoanza back to back mechi ndio class na form zimejitenga
Mwisho tulio kataa kwamba hii timu sio title contender tuliangalia zaidi uwezo wa kujilinda ambao ni mdhaifu mno haswa pale tunapopoteza mpira unakutana na beki line zisizokuwa na uwezo wa kunusa hatari na kufanya maamuzi ya haraka ni Caseido na Cucurella pekee wenye uwezo wa kukaba wengine ni wakabia macho

Hivyo basi uwezo halisi wa hii timu ndio huu na wala Usitarajie makubwa kisa mfululizo wa kushinda vimechi kadhaa hapo nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom