Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Somo la leo: MAGAZIJUTO/BODMAS
ipswichtown-20241231-0001.jpg

images (39).jpeg
 
Kwanza mie nikili tu kocha nae anazingua sana ndio maaana kuna wakati tunasema uwezo wake kma wa arteta ww hata mie nilie sijasoma ukocha nilipoona kikosi tu nikasema hapa tunafungwa na kweli tumewkwa
Halafu alie masjili Disasi aliona nni kwani
Makosa ya wazi sana watu mpira haifiki mbele na Chelsea tukicheza na timu zinazo kaba na kuziba njia hatufanyi lolote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom