Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani kwa kikosi hichi ata Km tukibadilisha mchezaji timu itabaki kua imara!
 
Hahaa mi chama langu city kimempiga nyundo mtu jana leo nashabikia wapwa zangu ze bluuuuz
 
Naam wachezaji ndio wanaingia uwanjani sasa kz ianze
 
Man wameanza kwa nguvu sn lkn ngome ya Chelsea iko imara kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom