Somebody Ousama Assadi,we unategemea nini?
Jamaa ana jina kama Aina ya Ndege ya kivita au Silaha ya kupiga masafa marefu....
BTW; Mentor hivi Peasant yupo wapi?? Kapotea sana jukwaani.
Somebody Ousama Assadi,we unategemea nini?
Jamaa ana jina kama Aina ya Ndege ya kivita au Silaha ya kupiga masafa marefu....
BTW; Mentor hivi Peasant yupo wapi?? Kapotea sana jukwaani.
Hali ni Nzuri wapenzi Wa Chelsea mpaka sass wageni wamepotana vibaya! Ila Kwa wenzetu Kule washika bunduki Maji ya shingo!
Chelsea Kamua Kamua!
Hahahaaah.....kumbe ni wa huku??
Kumbe huku hakuna kampani ndio maana kutwa unashinda jukwaa la gunners.
Wote haws umewapeleka wapi! Mmefuria arsenal!
Karibu sn kwenye Uzi Wa mabingwa!
Vbonde watakiona cha motoLeo tutakua na mtelemko baada ya Ushindi Wa j5
Vbonde watakiona cha moto
Ramireeeeeeeeessss!
2-1 Chelsea
Mkuu kuna avatar mpya hapa. Hahahahaaha
![]()