Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Haya mnaendelea na majonzi ya week end na bado mtazoea tu
Etooooooooooooooooooooooooooooooooo...
Majanga ingawa kuna extra time they can do smthng....Haya mnaendelea na majonzi ya week end na bado mtazoea tu
Dah Jiji la Arusha ni la kise,,,,ge sana!! Mji hauna umeme ati kila jioni wanazima!! WAFChelsea wanakoswa goli la wazi kabisa....
Referee kasawazisha katika dakika za majeruhi, hongera zenu kwa kujipatia point moja baada ya goli safi sana la refa.
mkuu ila tunashuka chini,Arsenal kama watashinda kesho watatuacha kwa points kama 7,dalili mbaya sana,The blues..........Hazard.........GOAL..... Cheza name vijana wa mourinho wewe, BETTER DRAW
Chelsea deserves it
Kweli hata marefa wana timu zao
Duuh Mentor katupa Update ya Eto'o halafu kapotea sasa sijui inakuwaje hapa.