Wakati US akivamia Libya, Iraq,Vietnam nani alimuwekea vikwazo? Western propaganda bado mnaziabudu nyinyi ng'ombe mliofungwa pin puani,analysis yako imejaa emotions kisa unaiogopa Chelsea as unaonekana umeteseka for 20 years na more years to come utaendelea kuteseka. Uzuri mistari ya mwisho imedhihirisha uliyoandika juu ni pumba.Wengi mnashindwa kuelewa, wala siasa haijaingilia mpira kilichotokea serikali ya UK wamemuwekea Roman vikwazo yeye na Chelsea ni mali yake kwahiyo lazima Chelsea nayo iguswe tena bado wamepewa na special license kuendelea kufanya kazi ila ndiyo hivyo Roman hakuna faida atatengeneza katika kipindi chote hicho.
Hii ishu kimichezo tunaweza kuona UK government wanaionea Chelsea lakini kumbuka upande mwingine kuna vita inayoendelea na inaharibu maisha ya watu kila siku na Chelsea inamilikiwa na mtu wa karibu wa na Putin ambaye anaweza kuwa ni mmoja wa watu wanao-fund vita kuendelea. I believe UK government knows more.
Halafu kuhusu kuwa shabiki wa soka na kufurahia anguko la Chelsea kuna watu kwetu hizi ni habari njema kabisa na hata Chelsea ikipotea bado itarudi tu.
Sasa Chelsea ndio wanapigana vita huko? Kuna vita gani dunia hii vimetokea bila watu kupoteza maisha? Siasa toka lini na mambo ya michezo kama wao Serikali ya UK wana uchungu sana kinachowashinda nini kuingia vitani nakuokoa watu wasio kuwa na hatia. wanakimbilia soft target Chelsea kuonesha wanajali. Wao UK waliuwa watu wangapi nchi za watu au wale walikuwa hawana macho ya blue sio binadamu.Kwhy we unaona ni bora kuingia vitani ili watu wasio na hatia wapoteze maisha.
Uk hawaja sanction Chelsea bali R.A, ndio maana Chelsea as a club wameruhusiwa kuendelea na normal footballing activities.Sasa Chelsea ndio wanapigana vita huko? Kuna vita gani dunia hii vimetokea bila watu kupoteza maisha? Siasa toka lini na mambo ya michezo kama wao Serikali ya UK wana uchungu sana kinachowashinda nini kuingia vitani nakuokoa watu wasio kuwa na hatia. wanakimbilia soft target Chelsea kuonesha wanajali. Wao UK waliuwa watu wangapi nchi za watu au wale walikuwa hawana macho ya blue sio binadamu.
Wamezuia hata washabiki kununua ticket kuingia kuangalia team zao hakuna kununua jezi hakuna kununua au kuongeza mkataba wa mchezaji kama huna nia ya kuuwa team ni nini? mfungie huyo owrner ambaye miaka 19 walifunga macho hata wakati Russia wanapiga Syria na kuuwa watu walikuwa kimyaa leo macho ya blue ndio binadamu hawa wengine mbwa. Hakuna mtu anapenda vita ila sote tunapenda kuona haki na maisha yote kuwa sawa. Russia kauwa sana watu Syria walikuwa wapi hawa UK? Double standard inaumiza sana usiombe ya kukute kuona huthaminiwi kwa sababu ya uraia wako au rangi yako inauma. Watuachie mpira wetu kama wao wanaume waende kupigana. Kama wana jeuri wapokonye Man city na Newcastle maana Saudia na UAE mwaka wa saba wanapiga Yemen na ndege watu kibao wamepoteza maisha hao sio watu?Uk hawaja sanction Chelsea bali R.A, ndio maana Chelsea as a club wameruhusiwa kuendelea na normal footballing activities.
Afu kuna punguwani watakuja kuyasifia mabeberu eti yana akili sana, sasa hapo kuna haki gani iliyotendeka zaidi ya chuki tu dhidi ya Mmiliki wa klabu ya Chelsea" Abrahamovich"?Wamezuia hata washabiki kununua ticket kuingia kuangalia team zao hakuna kununua jezi hakuna kununua au kuongeza mkataba wa mchezaji kama huna nia ya kuuwa team ni nini? mfungie huyo owrner ambaye miaka 19 walifunga macho hata wakati Russia wanapiga Syria na kuuwa watu walikuwa kimyaa leo macho ya blue ndio binadamu hawa wengine mbwa. Hakuna mtu anapenda vita ila sote tunapenda kuona haki na maisha yote kuwa sawa. Russia kauwa sana watu Syria walikuwa wapi hawa UK? Double standard inaumiza sana usiombe ya kukute kuona huthaminiwi kwa sababu ya uraia wako au rangi yako inauma. Watuachie mpira wetu kama wao wanaume waende kupigana. Kama wana jeuri wapokonye Man city na Newcastle maana Saudia na UAE mwaka wa saba wanapiga Yemen na ndege watu kibao wamepoteza maisha hao sio watu?
Wale Waarabu wa Iraq walisababishiwa na nani vita, na kwanini EU hawakuwahi kupiga kura za kulaani vile vitendo kwa USA ikiwa sheria za UK zinatenda haki ipasavyo ili wazifungie klabu ya Man City?
Klabu isipouzwa kwa haraka, cashflow itascrumble na hata pesa za kushiriki mashindani na kuendesha klabu zote mbili itakuwa matatani. Kwenye akaunti sasa kuna paundi mil 150 tuNaona tukiangukia kwa bwana wyss-boehly
Matatizo kama hayo yasipotatuliwa haraka yataaffect performance yetu.
Hasa hasa katika kipindi hichi tunachopigania ucl,fa cup n top 4.
Itatuchukua mda kukaa sawa, I feel sorry kwa Tuchel naona kabisa leo wanahabar wakimuuliza maswal ambayo hayapaswi yeye kuulizwa
Si walikuwa wakimkandia, kumbe walikuwa wakimtamani kimoyomoyoNaona Man Utd pamoja na vilabu vingine vikimtaka Tuchel endapo ikitokea akaondoka.
Chalobah hajatulia, bado ana kiherehere. Jana Nor waliporudi kipindi cha pili waliulemea upande wake hadi akasababisha penaltiChalobah sijui kwa nini anatabia ya kucheza mpira wa chin kwa kichwa,
Wa kwanza kaukosa silva akaclear
Wapili kasababisha penalf
Wameweka kabla ya msimu kuishaTalks to sell Chelsea are continuing, UK Government want the sale and everyone involved wants this done as soon as possible.
{@GraemeBailey}
Ila soon itauzwa hata wiki ijayo tusubiriWameweka kabla ya msimu kuisha