Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leicester City 0 vs Chelsea 3.


Sisi tunapaki bus na kufunga magoli na point tatu. Wao wanaendesha bus lakini hawafungi
Potechinoi nilikuwa nampa respect lakini nimegundua ni mweupe peee
Ni kama vile haifuatilii Chelsea
Timu inapaki mabasi na kila mchezaji anafunga, timu inayoongoza kwa mabeki kufunga
Tunaongoza ligi dhidi ya timu zisizopaki mabasi ila wanafungwa kiholela
Naomba tukutane naye UCL tumkomeshe na afunge bakuli lake
 
Leo ndio siku rasmi ya kumfukuza Sosha, naona wachezaji wameamua kuweka mgomo, Hata Ronaldo aliyekuwa anamnusuru naye kaamua kugoma
 
Potechinoi nilikuwa nampa respect lakini nimegundua ni mweupe peee
Ni kama vile haifuatilii Chelsea
Timu inapaki mabasi na kila mchezaji anafunga, timu inayoongoza kwa mabeki kufunga
Tunaongoza ligi dhidi ya timu zisizopaki mabasi ila wanafungwa kiholela
Naomba tukutane naye UCL tumkomeshe na afunge bakuli lake
Kwa hiyo unamtaka psg uefa falaa wewe ,huogopiii!!!!!
 
Potechinoi nilikuwa nampa respect lakini nimegundua ni mweupe peee
Ni kama vile haifuatilii Chelsea
Timu inapaki mabasi na kila mchezaji anafunga, timu inayoongoza kwa mabeki kufunga
Tunaongoza ligi dhidi ya timu zisizopaki mabasi ila wanafungwa kiholela
Naomba tukutane naye UCL tumkomeshe na afunge bakuli lake
Kocha ambaye ana zidiwa CV na de mateo yule alotupa UEFA CL 2012. Puchettino anaichukia chelsea maana ilimbania mechi ya mwisho msimu mmoja uliopita nyuma ilikua abebe EPL sasa hakuamini alikaziwa balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom