papason
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 5,119
- 5,709
Bado mapema ..
Tumeisha wazibiti idara zote
Bado mapema ..
Tumeisha wazibiti idara zote
Galas kapewa bahasha ya kaki nini
Ni aje waungwana!? Msiondoke jamani sie tunawapenda
Mike Dean atawaokoa tu watapata goli si unajua ni mzee wa bahasha ... ..... .. .
Bado mna muda Mkuu wa kuweza kurudi, yule SAF na MANU wanakenua saa hizi