Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,326
Mwaka huu usitarajie jina kubwa kutua hapo daraja la sarenda.Naona tunauza tu
Mwaka huu usitarajie jina kubwa kutua hapo daraja la sarenda.Naona tunauza tu
Namba zake zinatisha sana wakati Ronaldo anatimiza miaka 21 alikua amefunga goa 27 na messi alikua amefunga goa 48 tuuh dogo anamagoal 100+Huyu mbwa ananimalizia bando kumfuatilia yeye tu.
Mwaka huu usitarajie jina kubwa kutua hapo daraja la sarenda.
The same to me he signed me to chelsea.The man who made me fall in love with Chelsea.
Kila nikigusa simu asubuhi Kwanza nataka kujua usajili wa halaand .Binafsi mtazamo wangu kuhusu kukwama kwa huu usajili wa Haaland, nadhani Bodi yetu haitaki kulipa £150M cash bali itakuwa inataka unafuu kwa kujumlishia wachezaji kama Abraham kwenye hili deal.
Kama Dortmund wanataka £150M, huku Raiola na baba mzazi wa Haaland wanataka £50M, kweli Marina atoe cash £200M sidhani?
Lazima Marina anataka kujumilisha na baadhi ya wachezaji ili kupunguza makali ya kulipa cash £200M.
Hii biashara ngumu sana itatupotezea muda wa kusajili maeneo mengine kwenye kikosi.
Binafsi mtazamo wangu kuhusu kukwama kwa huu usajili wa Haaland, nadhani Bodi yetu haitaki kulipa £150M cash bali itakuwa inataka unafuu kwa kujumlishia wachezaji kama Abraham kwenye hili deal.
Kama Dortmund wanataka £150M, huku Raiola na baba mzazi wa Haaland wanataka £50M, kweli Marina atoe cash £200M sidhani?
Lazima Marina anataka kujumilisha na baadhi ya wachezaji ili kupunguza makali ya kulipa cash £200M.
Hii biashara ngumu sana itatupotezea muda wa kusajili maeneo mengine kwenye kikosi.
tutakuja kulipa kisasi kwa kumchukua billy gilmour miaka miwili ijayoKaka & dada View attachment 1864608
Billy hauzikitutakuja kulipa kisasi kwa kumchukua billy gilmour miaka miwili ijayo
rafiki yangu Papaa Gx ikumbuke hii comment
teh teh teh
Hazard arudi darajani, kwa maana Pulisic anadema dema tuu, wastage of time
View attachment 1864909
tulishamchukua juan mata hapo darajani
ametukuta tukiwa ni wagonjwa tusiotibikaAliwasaidia nn?
Hazard akirudi darajani ni the worst wastage of time and money - Abaki huko huko ale pension yakeHazard arudi darajani, kwa maana Pulisic anadema dema tuu, wastage of time
View attachment 1864909
Pulisic Yuko vizuri sana, injury Toka amepata injury bado hajarud kwenye form.Hazard arudi darajani, kwa maana Pulisic anadema dema tuu, wastage of time
View attachment 1864909
Dogo anazingua muda anaotumia kukaa nje kutibu majeraha ni mwingi sana kuliko aliocheza uwanjani tena subs.
Tunahitaji left winga mwingine wa kutupa 10+ goals kwa msimu.
Kubeba EPL tunahitaji wafungaji:-
Left winga 10+ goals
Right winga 10+ goals
CF 10+ goals
Sasa akitua Haaland Stanford, watakaomzunguka pale mbele hawana uwezo wa kufunga magoli 10 kwa msimu.