Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kumbe hawa ndo wanakwamisha deal la haaland
20210714_125536.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo itakuwa ni biashara kichaa, Chelsea imekwisha peleka ofa ya Euro Million 100 bila uwepo wa Ziyech. Lakini Juve wamekataa na wamesema jamaa hauzwi, now Chelsea ina jiandaa kupeleka ofa nyingine.
Ziyech + 50M = Federico Chiesa

Marina hauoni hizi biashara jameni
 
Hiyo itakuwa ni biashara kichaa, Chelsea imekwisha peleka ofa ya Euro Million 100 bila uwepo wa Ziyech. Lakini Juve wamekataa na wamesema jamaa hauzwi, now Chelsea ina jiandaa kupeleka ofa nyingine.
Mimi hawa wachezaji wanaopafomu kwenye mashindano mafupi huwa siwaamini kabisa mchezaji amecheza mechi sita tuu amefanya vizur mnaenda kununua kwa 100M
Rejea =renato Sanchez
Rodriguez
Mario gotz

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hivi inakuwaje friends mechi tunacheza na ase8 na spurs?

Ilihali Kuna barca, bayern, juventus, PSG ambao hatukukutana nao UEFA.
Si kingine Bali NI ishu za covid zinapelekea kuwa hv I think....kipindi kabla ya pandemic tunaona timu zinakwenda mbali kucheza mechi za kirafiki mpk uchina huko au USA lkn sahv kutokana na huu ugonjwa Labda watapaa mpk Ireland au uskochi lkn si nje ya UK
 
Chelsea wameshatoa dau la Euro 100 Juventus kwa Federico Chiesa
 
Hujasikia kuwa Juve wamegoma kumuuza Chiesa? Jamaa hauzwi, na kama Chelsea watafanikiwa kumnunua huyo dogo basi klabu yetu tayari itakuwa ni yenye ushawishi.
Chelsea wameshatoa dau la Euro 100 Juventus kwa Federico Chiesa
 
Broo, Chiesa ni mzuri sana na kwa uchezaji wake atafaa sana kwenye mbinu za mnyama TT.
Mimi hawa wachezaji wanaopafomu kwenye mashindano mafupi huwa siwaamini kabisa mchezaji amecheza mechi sita tuu amefanya vizur mnaenda kununua kwa 100M
Rejea =renato Sanchez
Rodriguez
Mario gotz

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hamna uwezo wa kumchukua halaand ,pimbi wakubwa nyie ..!


Subili tuwanyooshe sasa league inaanza
 
Chiessa akinunuliwa chelsea...naahidi kuziangalia mechi zote za chelsea ikiwa mazingira yataruhusu...nitanynua jezi ya home+away+3rd kit nitainetia chelsea mechi zote win...lakini isitoshe nitadunduliza kiasi nacho pokea kutoka kwa wahisani mpaka nizame Stamford bridge amen
 
Chiessa akinunuliwa chelsea...naahidi kuziangalia mechi zote za chelsea ikiwa mazingira yataruhusu...nitanynua jezi ya home+away+3rd kit nitainetia chelsea mechi zote win...lakini isitoshe nitadunduliza kiasi nacho pokea kutoka kwa wahisani mpaka nizame Stamford bridge amen
Hizo pesa bora tu ukanunua bia ,na kut.o.mbea tuu ,..

Maana huu msimu ni kipigo tuu
 
Kuna jamaa mmoja ambaye ni kocha maarafu kadai Federico Chiesa ni mmaliziaji mzuri kuliko Lampard na Drogba, labda yuko sawa ukichukulia umri ana miaka 23 tu
 
Mimi hawa wachezaji wanaopafomu kwenye mashindano mafupi huwa siwaamini kabisa mchezaji amecheza mechi sita tuu amefanya vizur mnaenda kununua kwa 100M
Rejea =renato Sanchez
Rodriguez
Mario gotz

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Shida umemuangalia kwenye euro tu, kama unafatilia seria A, usingesema ni mchezaj wa mashindano mafupi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom