dojonase
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 1,717
- 2,367
20 ilimkaa sana mata 21 ilimkaa sana Hazard Samsung ilimkaa drogbaWhat’s your favourite top 3 @Chealsea home kits from these?View attachment 1851656
20 ilimkaa sana mata 21 ilimkaa sana Hazard Samsung ilimkaa drogbaWhat’s your favourite top 3 @Chealsea home kits from these?View attachment 1851656
Haaland in Chelsea training View attachment 1851483
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Future Borussia Dortmund sport director Sebastian Kehl to SkyDe: “Haaland to Chelsea? I read about it, but for us nothing has changed: we have plans with Erling for next season, he and his agent are aware of it. We expect him back this week”.Haaland in Chelsea training View attachment 1851483
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sky_MaxB #BVB #CFCNajua mzee baba niliweka kufurahisha genge tuu naona watu wamepanikiAnaitwa CONOR GALLAGHER amerudi kutoka mkopo
Mimi bado ninaimani na haaland kutua Chelsea maana BVB ni wafanyabiashara haiwezekani waikatae 100M+ ambayo ni faida mala 3 ya hela waliyomnunulia alaf waje kumuuza kwa 60M msimu ujaoFuture Borussia Dortmund sport director Sebastian Kehl to SkyDe: “Haaland to Chelsea? I read about it, but for us nothing has changed: we have plans with Erling for next season, he and his agent are aware of it. We expect him back this week”.Sky_MaxB #BVB #CFC
@Goal233
Mimi piah ninaimani hiyo mzee tusubiliDirisha kubwa tangu limefunguliwa hatujafanya usajili wowote bali wachezaji wetu wa mkopo wamerudi kucover zile nafasi za kusajili Malang Sarr, Zappacosta.
Nahisi kuna kishindo kikubwa cha usajili kinakuja soon cash £154.2M italipwa Dortmund.
Wako kibiashara zaidi, ona hapa walivyokunja mpunga mrefuMimi bado ninaimani na haaland kutua Chelsea maana BVB ni wafanyabiashara haiwezekani waikatae 100M+ ambayo ni faida mala 3 ya hela waliyomnunulia alaf waje kumuuza kwa 60M msimu ujao
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

| @Goal233BVB na ajax hawa jamaa wanaijua sana biashara ya mpiraWako kibiashara zaidi, ona hapa walivyokunja mpunga mrefu
Borussia Dortmund spent £32m on the following players:
-Jadon Sancho
-Ousmane Dembele
-Pierre-Emerick Aubameyang
-Christian Pulisic
They sold them for a total of £309m.
| @Goal233
Wasiishie tu kwenye biashara waonyeshe makucha pia Champion League ingawa walishawahi kuchukua mara chacheBVB na ajax hawa jamaa wanaijua sana biashara ya mpira
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Future Borussia Dortmund sport director Sebastian Kehl to SkyDe: “Haaland to Chelsea? I read about it, but for us nothing has changed: we have plans with Erling for next season, he and his agent are aware of it. We expect him back this week”.Sky_MaxB #BVB #CFC
@Goal233
Labda wanasubiri apande bei kwanza ukilinganisha na bei ya sasaHuyo jamaa nakumbuka msimu uliopita kabla ya kuanza alitoa kauli kama hiyo kwa SANCHOKA nakweli wakawa nae na hakuuzwa
Dirisha kubwa tangu limefunguliwa hatujafanya usajili wowote bali wachezaji wetu wa mkopo wamerudi kucover zile nafasi za kusajili Malang Sarr, Zappacosta.
Nahisi kuna kishindo kikubwa cha usajili kinakuja soon cash £154.2M italipwa Dortmund.
Labda wanasubiri apande bei kwanza ukilinganisha na bei ya sasa
Kwa kichekesho kingine kama hiki tubonyeze ngapi.?Haaland in Chelsea training View attachment 1851483
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Siyo edit.Huyo ni Conor Callagher.Hahahahahaaa, we jamaa na edit zako zitakuja mpa mtu presha.
Wasiwasi wangu Man city anaweza kutuzidi mbio za kumsajili Haaland
Lauren James mdogo wake na Reece James kutoka Timu ya wanawake ya Manure atanunuliwa kwa ada kubwa kuwahi kutokea timu mbili za WSL kuuziana wachezaji. Chelsea pia itaweka rekodi ya ndugu wawili kuchezea timu moja ya wanawake na wanaume kwa wakati mmoja.
Lauren ni mshambuliaji na ataungana na manager Emma Hayes's ambaye ameiwezesha Chelsea wanawake kutwaa ubingwa wa England wanwake kwa misimu miwili mfululizo, kushinda Community Shield na kufika kwenye fainali za UEFA wanawake
Lauren ananunuliwa kwa kiasi cha paundi 200,000, na itaongezeka hadi 300,000 zitakazotokana na addons
Uhamisho bado kidogo kwa timu ya Chelsea kukubaliana na mchezaji kuhusu marupurupu binafsi
Wanapendeza hawajapendeza?
View attachment 1852279