Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,194
- 21,527
Na Pulisic?Timo anauwezo wakutokea pembeni
Na Pulisic?Timo anauwezo wakutokea pembeni
Na pia tunamichezo mingi Sana so hata pulisic asipo Anza weekend hii ataanza hata next time, na pia sisi Kama mashabiki tunataka kuona Ni vip giroud atazitendea haki long range ball za Hakim, hiyo ndo shauku yangu kubwa...Pulisic majeruhi mfulilizo aendelee kupumzika pumzika apone kabisa majeraha yote, nadhani awe anatokea sub dakika za 70.
Werner anacheza vizuri sana kushoto akisimama na Giroud anayejua kufanya link up, pale mbele yatakuwa mauaji.
Mkuu, mtuongeze pesa basi kwa huyu Giroud dah,....Pulisic majeruhi mfulilizo aendelee kupumzika pumzika apone kabisa majeraha yote, nadhani awe anatokea sub dakika za 70.
Werner anacheza vizuri sana kushoto akisimama na Giroud anayejua kufanya link up, pale mbele yatakuwa mauaji.
Nadhani haupo serious katika hiliPulisic anaweza akaanzia bench
Nionacho Werner bado acheze nafasi ya Pulisic na Giroud striker. Pulisic aingie HT ili aendelee kujenga fitnessMkuu kumbuka kuna Timo Werner
Uache unafiki kwa sababu hata nyie Arsenali mlimponda mkasema aliuzwa kwa sababu alikosa namba kwa akina LagazetiMkuu, mtuongeze pesa basi kwa huyu Giroud dah,....
Ndio nilisikia mtu anamlinganisha Giroud na Tammy nikabakia kucheka tu.
Game lijalo tutakuwa hatuna la kupoteza mana hata sevilla kama akishinda bc ashinde kwa magoli zaid ya 10 so tukimuweka kepa golin ataruhusu magoli matano nadhani itakuwa bado hakuna shida
Kwann mkuu?
Hata tukifungwa 1000 na wao wakashinda 1000 hawawezi kuwa wa kwanza kwa sababu ya matokeo ya H2HGame lijalo tutakuwa hatuna la kupoteza mana hata sevilla kama akishinda bc ashinde kwa magoli zaid ya 10 so tukimuweka kepa golin ataruhusu magoli matano nadhani itakuwa bado hakuna shida
😂😂😂 Akili za bang hizi
Tambua pia kumuweka Timo kushoto bado potential yake haionekani.Pulisic majeruhi mfulilizo aendelee kupumzika pumzika apone kabisa majeraha yote, nadhani awe anatokea sub dakika za 70.
Werner anacheza vizuri sana kushoto akisimama na Giroud anayejua kufanya link up, pale mbele yatakuwa mauaji.
Pulisic akiahakua na match fitness striker unamchezeaha nani pale?Nionacho Werner bado acheze nafasi ya Pulisic na Giroud striker. Pulisic aingie HT ili aendelee kujenga fitness
Hahahaa.. yan nishasahau kama huyu mtu bado ana exist kama mchezaji wa ChelseaHahahaha tutawapa Batshuayi kama Shukrani.
Striker anayefunga magoli ndie wa kupewa muda mwingi. Timo ni striker mzuri ila bado hajatulia. Ana makosa mengi kama ya Tammy, ila kwa sababu Tammy ni mwingereza ndie anaonekana. Tukifanya analysis ya clear chances walizokosa Tammy na Timo ni kama wako ngoma sawa. Advatage pekee ya Timo over Tammy ni anacheza mpira na juhudi zake asipofunga zinazaa goli kupitia wenginePulisic akiahakua na match fitness striker unamchezeaha nani pale?
Hapo ndipo tunapomaanisha upana wa kikosi anayeanza Gold aliye bench Tanzanite
Yaani jmosi asipo mwanzisha giroud kwenye game na Leeds itakuwa violence against sports
Giroud
Giroud
Giroud
Giroud
Giroud
Giroud
Giroud
No comment.
Gnabry kulia, Sane kushoto kati Timo.Timo Werner Ujerumani si alikuwa anatokea kushoto halafu anaingia kati?
Yote kheri ilimradi tusipoteze nafasi za kufunga kama game na SpursStriker anayefunga magoli ndie wa kupewa muda mwingi. Timo ni striker mzuri ila bado hajatulia. Ana makosa mengi kama ya Tammy, ila kwa sababu Tammy ni mwingereza ndie anaonekana. Tukifanya analysis ya clear chances walizokosa Tammy na Timo ni kama wako ngoma sawa. Advatage pekee ya Timo over Tammy ni anacheza mpira na juhudi zake asipofunga zinazaa goli kupitia wengine
Kwa form aliyonayo Giroud sasa hivi isitibuliwe, acheze tu pale hata Timo akianzia Benchi au Pulsiic yote sawa
Tammy ana waste sana mipira mirefu ya Ziyech, Giroud akipangwa na Ziyech hiyo mipira ya kichwa Giroud atafunga hat trick za vichwa za kutosha.
Halafu ile mechi ya juzi na Tote ikimwangalia Ziyech kama alikata tamaa flani ya kuendelea kupiga mipira mirefu kwa Tammy, akaamua kucheza mipira ya pasi fupi fupi.