Sevila sio team nzuri kivile mbele ila tu ina history nzuri sana na team za EnglandKuna tetesi Eduardo Mendy amepona so Kama atacheza Chelsea itakuwa solid ukichanganya Silva + Zouma basi itakuwa [emoji91] tofauti na hapo Hali itakuwa ngumu
Sevila sio team nzuri kivile mbele ila tu ina history nzuri sana na team za EnglandKuna tetesi Eduardo Mendy amepona so Kama atacheza Chelsea itakuwa solid ukichanganya Silva + Zouma basi itakuwa [emoji91] tofauti na hapo Hali itakuwa ngumu
Nimeweka picha hapo, Kante, Azpi wanapumzishwa kwa sababu ya ratiba tight. Tactical only. Ziyech bado kuwa kwenye full fitnessKante anapumzishwa vipi na Azpi?
Kwenye 3-4-3 Kai hawezi cheza Kiungo labda winga. Kai sio mzuri kwenye kukaba, 3-4-3 haina CAM ina DM wawili tu labada kama FL atadhubutu 3-5-2Pulisic-Werner-Ziyech
Chilwell--Kai-Kante-James
Zouma-Silva-Cesar
-Caballero/Mendy
Kama anapanga hivyo inaweza kutusaidia kusecure ushindi nyumbani.
Kwa sasa ni ngumu kucheza 343 au 352 kutokana na wachezaj tulionaoKwenye 3-4-3 Kai hawezi cheza Kiungo labda winga. Kai sio mzuri kwenye kukaba, 3-4-3 haina CAM ina DM wawili tu labada kama FL atadhubutu 3-5-2
SijaionaNimeweka picha hapo, Kante, Azpi wanapumzishwa kwa sababu ya ratiba tight. Tactical only. Ziyech bado kuwa kwenye full fitness
Oooh sawaKwenye 3-4-3 Kai hawezi cheza Kiungo labda winga. Kai sio mzuri kwenye kukaba, 3-4-3 haina CAM ina DM wawili tu labada kama FL atadhubutu 3-5-2
Changamoto iliyoko ndio hiyo kwa sababu 3-4-3 au 3-5-2 ndio formation inayoshield mabeki vizuri lakini italazimisha Kai awe sub ya winga, 3-5-2 inahitaji striker wawili na hivyo Pulisic na Ziyech watakosa namba na tukisema 4-3-3 haina tofauti sana na 4-2-3-1, mabeki wanakuwa exposed labda tupate DM mmoja kama rice wa kusaidiana na KanteKwa sasa ni ngumu kucheza 343 au 352 kutokana na wachezaj tulionao
Tukisema tucheze 343 kai ataanzia nje
Tukisema tucheze 352 pulisic n ziyech wataanzia njee
Dawa nu kumaintain tu 4-2-3-1 au 4-3-3 na kuajiri DM wa pili ili Jorginho, Mount na Havertz wabaki kwenye CAM au forwardKwa sasa ni ngumu kucheza 343 au 352 kutokana na wachezaj tulionao
Tukisema tucheze 343 kai ataanzia nje
Tukisema tucheze 352 pulisic n ziyech wataanzia njee
Hata hii siyo mbaya 4-3-3Kuna wanaosema Ziyech bado atatokea benchi, Ngolo Kante atapumzishwa na Azpilicueta
Kwa hiyo Predicted Line Up dhidi ya Sevilla itakuwa hivi
View attachment 1606364
Kwani Mendy amepona?Sevilla leo tunajambo letu naam
Na mchague mapemaa kipa wenu....leo atadaka Zabalaga au Mendy au yule mzee..
Mana Sevilla hawana dogo.
Hayo mawazo ndio yanafanya tufunge goal 4 na pia turuhusu goal 4Leo ni kushambulia Mwa-Mwi 4-3-3 itapendeza zaidi ili kutuhakikishia ushindi nyumbani.
Basi tupange timu nzima mabekiHayo mawazo ndio yanafanya tufunge goal 4 na pia turuhusu goal 4
Na nyie muwekeni anko TomChelsea wamemuweka Petr Cech kwenye kikos cha wachezaji 25 EPL
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chelsea wamevurugwa aisee
Kasome kwa nini amewekwa,ipo condition ya kwa nin amewekwaChelsea wamemuweka Petr Cech kwenye kikos cha wachezaji 25 EPL
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chelsea wamevurugwa aisee