Wolves mechi ya mwisho tumepoteza , sababu kuu tulikuwa na majukumu ya Europa qualification ,na pia tulikutana na Everton wanakikos kizuri .

Sasa Chelsea mnakuja Molenux , jiandaeni kisaikolojia

Wapi DIOGO JOTA

RUBEN NEVES

ADAMA TRAOE
 

Yani nyinyi kwa kujiokotea vijipost vya chochoroni mukavifanya ndiyo reference zenu hamuwezekani!!!!

Halafu tukiwachallenge baazi ya washabiki wenzake wanaanza kutuattack kwa kituita "HATUNA AKILI" "MAZUMBUKUKU" "HATUJIELEWI" "HATUJUI KITU" "HATUNA LOLOTE" !!

Hivi hata hutilii wasiwasi hutilii doubt hiyo screen shot kumueka Barcelona kwenye kundi la G.O.A.T ?

Hapo G.O.A.T ni Real Madrid tu pekeyake.

Huyo Barcelona ni wakawaida sana! Ni sahihi kuwa anaingia kwenye kundi la GIANTS.

Nenda kwenye Link ya UEFA utaona Ranking zao mpya walizotoa zipo hivi ↓↓

1/ Real Madrid

2/ Atletico Madrid

3/ Barcelona

4/ Bayern Munich

5/ Juventus

6/ Man City

7/ PSG

8/ Liverpool

9/ Arsenal

10/ Man United

Nilitaka kujiuliza kwanini kuna timu zipo mbele ya Liverpool hapo? Lakini nikahisi pengine ni kwasababu ya kubeba Domestic cups za Ligi zao mfululizo.

Lakini still najiuliza Kwanini Real na Atletico wapo hapo juu kwa hii current Ranking!!!!!!
 
Kama ni domestic cup basi hata Chelsea alistahili kuwepo ndani ya hiyo top 10. Nadhani kilicho angaliwa hapo ni ushiriki wa mara kwa mara wa mashindano ya UEFA na Europa League. Kwa sababu kuna msimu sisi hatukushiriki yote kati ya hayo mashindano na hatua ambazo timu imefikia so imepelekea kuwa na point chache.

Kuhusiana na hiyo screenshot, Barcelona yupo hapo kwa sababu ya ushiriki wake kwenye mashindano tofauti na umewaletea pia tija. Kwa mfano kwa kipindi cha ivi karibuni wamechukua La Liga mfululizo pamoja na Copa Delrel pia UCL kwa kipindi cha miaka 10 wao wamechukua mara 3 kama sikosei ndio imepelekea kuwekwa nafasi hiyo.
 
@lembu ubabishana na UEFA ? hao wenyewe wanajua unabahatisha ,na wanajua kuanzia msimu huu kuna uwezekano Chelsea ikaenda championship na huko UCL ikashika mkia kwenye hilo kundi, unadhan UEFA hawajui hilo

Hizo Rank zinaonesha Chelsea hayupo hata 10 bora , jinsi zinavyopatikana nenda kwenye website YAO wameeleza .

Hiyo imetoka Leo bado ya moto kabisa ,
 

Atletico ????

With Zero Trophy????

Ni timu bora ya PILI barani Ulaya?
 
Atletico ????

With Zero Trophy????

Ni timu bora ya PILI barani Ulaya?
Katika kipindi cha miaka 10 Atletico ana makombe matatu ya Europa League (Micky Mouse) pia alichukua Super Cup kwa Madrid nadhani nafasi aliyopo anastahili ila Tot na Arsenal sioni sababu wao kuwepo kwenye hizo nafasi.
 
Katika kipindi cha miaka 10 Atletico ana makombe matatu ya Europa League (Micky Mouse) pia alichukua Super Cup kwa Madrid nadhani nafasi aliyopo anastahili ila Tot na Arsenal sioni sababu wao kuwepo kwenye hizo nafasi.
Acha ushabiki maandazi,

Arsenal miaka 10 ana mickey maose 6 ,

Chelsea msimu ujao atakuwa mwenyeji wa championship

Endelea kubishana Na UEFA ,
 
KUFIKIA 2022 ,Chelsea itakuwa sawa na GWAMBINA YA PASTA ATHANAS

Real Madrid na Chelsea wameafikiana makubaliano ya uhamisho wa kiungo N’Golo Kante, 28, ambapo klabu hiyo itaambia klabu hiyo ya Uhispania iwapo watapokea maombi yoyote ya mchezaji huyo wa Ufaransa. (Defensa Central, via Express)N'golo Kante
 
Nazan mpka chelsea inafika huko... arsenal itakuwa kama keko furniture fc.
 
SISI KAMA WACHAMBUZI TUNAONA WEEKEND HII CHELSEA AKILAMBISHWA MCHANGA

Norwich 2-6 Man City


Man Utd 1-1 Leicester


Wolves 2-1 Chelsea


Charlie Nicholas has penned his full Premier League predictions for the weekend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…