Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni mapito tu...tutakaa Sawa tu ; Ila wachezaji wamekua wabinafsi ..kocha pia lazima abadili mbinu iwapo timu imezidiwa
 
Mkuu kwani saivi Chelsea iko vizuri?

Ni mchezaji gani wa Chelsea anaeza pata namba man city kwa sasa? Usiseme Kante, Hazard...

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwani nyie masikini sasa hivi? Mliwapiga 6 kipindi hicho kama wachezaji wanahemea wachezaji wa mkopo na wachezaji wa bei rahisi wakati nyie by that time mlikuwa mmeshampata Roman Abramovic
 
Vincent Kompany kaachwa tu juzijuzi tena kwa sababu ya injury aliyopata wakati Mancity walipocheza na Liverpool January 3. Hii ya kwamba hatumiki tena ni ya kwako mkuu, Luiz sikusema awe tegemeo la timu lakini kumuacha tu ni uamuzi mbaya, akina Andreas wana vitu vingi vya kujifunza kutoka kwake. Kama uongozi ukiweza kumpata strategic relplacement ni sawa ila naogopa kuwa wanaweza kumleta mbovu Zaidi na ikawa ni afadhali kumjenga Christiansen achukue nafasi yake. Willian bado ana uwezo mkubwa kama winga kutengeneza nafasi, kumuachia aende labda auzwe kwa chenji yenye kuweza kuwanunua winga bora Zaidi, Pedro kashachoka kwa kweli. Ila in short ubovu wa kiuujumla wa timu ndio unaoleta kunyoosheana vidole. General form ya timu ingekuwa nzuri tusingekuwa leo tunawataja akina Luiz, Willian nk. Pale kwenye msingi ndio inatakiwa kujengwa, pale ikibomoka nyumba yote mbovu. Che inamhitaji CMF, LMF na RMF wazuri Zaidi ya Jourginho na Kovacic. Na pia kocha na Benji lake la ufundi wanachangia kwa timu kukosa morale, mentality ndogo na individual mistakes nyingi kana kwamba hawaudhurii mazoezi. Pia kocha kuwa conservative kwa mfumo mmoja madhara yake ni pale mfumo usipowork ndio haya. Mimi generally namlaumu kocha kwa mentality yake finyu kwenye mifumo na tactics za kuleta matokeo

Mkuu Jorginho na Kovacic wamekuja juzi tu, Na timu mwaka jana ilikula mabao mpaka wakatafutana.
Luiz hafai kuwepo kwenye timu, Hana tena sifa ya beki wakuanza kwa timu kama Chelsea, Na akiwekwa Bench ndio hao wanaotengeneza fitna za kususia makocha. Tatizo kubwa la chelsea ni mentality ya mafanz wake pamoja na management. Jorginho ni katika best Midfielder in Europe nyie mnamuona hafai, Sishangai mkaishia kupendekeza mchezaji kama Zaha aletwe pale aje kukusaidieni kugombea ubingwa wa Ulaya.
Willian hafai kabisa, mchezaji anayekosa consistence performance, mechi moja akicheza vizuri 6 ovyo. Scoring yake ni very poor, anaweza hata kukosa nafasi 5 za wazi kwa siku, Creative yake pia ni poor sijui mnaona nini bado. Chelsea wanahitaji quality winger kama Doglas Costa kule mbele, Pedro, Willian , hawfai. Na Hazard kama anataka kuondoka wajikite kwa mtu kama na mtu kama Dyabla.

Kila kocha na mfumo wake, Huwezi kuta kocha ana mifumo miwili tafauti ukamkuta anatumia, mabadiliko yote ya kwenye mfumo lazima yaendane na mfumo wake mkuu. Na utawezaji kuaanza kuforcas na Plan B wakati Plan A bado haijakaa sawa? Hayo ndio maneno ya Sarri siku zote anayowajibu wale waandishi uchwara.
 
Mkuu Jorginho na Kovacic wamekuja juzi tu, Na timu mwaka jana ilikula mabao mpaka wakatafutana.
Luiz hafai kuwepo kwenye timu, Hana tena sifa ya beki wakuanza kwa timu kama Chelsea, Na akiwekwa Bench ndio hao wanaotengeneza fitna za kususia makocha. Tatizo kubwa la chelsea ni mentality ya mafanz wake pamoja na management. Jorginho ni katika best Midfielder in Europe nyie mnamuona hafai, Sishangai mkaishia kupendekeza mchezaji kama Zaha aletwe pale aje kukusaidieni kugombea ubingwa wa Ulaya.
Willian hafai kabisa, mchezaji anayekosa consistence performance, mechi moja akicheza vizuri 6 ovyo. Scoring yake ni very poor, anaweza hata kukosa nafasi 5 za wazi kwa siku, Creative yake pia ni poor sijui mnaona nini bado. Chelsea wanahitaji quality winger kama Doglas Costa kule mbele, Pedro, Willian , hawfai. Na Hazard kama anataka kuondoka wajikite kwa mtu kama na mtu kama Dyabla.

Kila kocha na mfumo wake, Huwezi kuta kocha ana mifumo miwili tafauti ukamkuta anatumia, mabadiliko yote ya kwenye mfumo lazima yaendane na mfumo wake mkuu. Na utawezaji kuaanza kuforcas na Plan B wakati Plan A bado haijakaa sawa? Hayo ndio maneno ya Sarri siku zote anayowajibu wale waandishi uchwara.
Hayo ni mitizamo, mahaba na mapenzi yako, na kila mtu anaona impendezavyo, tusubiri tuone mtizamo wa nani uko sawa
Sina haja ya kuendelea kubishana na mtu mwenye mahaba. Ila mimi nitabakia pale pale, wachezaji wengine wamepwaya kwa sababu ya timu nzima kuwa kwenye bad form iliyosababishwa na poor motivation ya timu ambayo nadhani hawasiliani vizuri na kocha na baadhi ya wachezaji kuwa poor quality, kwa case ya Jourgninho unaweza kuwa right labda anatakiwa kuzoea EPL, ila kwa case ya Willian, Luiz I still embrace my stand. Na kwa Kocha bado nasema kocha ni mzuri 4-3-3 ikifanya kazi lakini isipofanya kazi hana tactics, hana techniques wala hana strategic plan B kama walivyo makocha wazoefu
 
We una point gani??? Nimekuuliza unadhan solution ni kufukuza kocha? Utafukuza wangap? Liverpool na man city wamewasubr makocha wao mpka ku implement philosophy zao! Na waliwapa hela kusajili. Unajua Sera ya kusajili ya Chelsea?
katka mashabiki wabovu cfc ni ww maana hunaga point tofaut na kukopy ujinga huna akili ya kufikilia yawezekana umri 15-25
Sibishan na wavuta bangi. Mwehu ww
 
Hayo ni mitizamo, mahaba na mapenzi yako, na kila mtu anaona impendezavyo, tusubiri tuone mtizamo wa nani uko sawa
Sina haja ya kuendelea kubishana na mtu mwenye mahaba. Ila mimi nitabakia pale pale, wachezaji wengine wamepwaya kwa sababu ya timu nzima kuwa kwenye bad form iliyosababishwa na poor motivation ya timu ambayo nadhani hawasiliani vizuri na kocha na baadhi ya wachezaji kuwa poor quality, kwa case ya Jourgninho unaweza kuwa right labda anatakiwa kuzoea EPL, ila kwa case ya Willian, Luiz I still embrace my stand. Na kwa Kocha bado nasema kocha ni mzuri 4-3-3 ikifanya kazi lakini isipofanya kazi hana tactics, hana techniques wala hana strategic plan B kama walivyo makocha wazoefu

Mkuu nani mwenye mahaba? haya mahaba na mapenzi mimi nayaona yapo kwako. Mkuu Willian kufikisha goli 10 kwenye msimu shughuli pevu, Kufikisha assist 10 kwenye msimu pia shughuli pevu. Ayo si yaleo tu yatafute kwa makocha wote waliopita, Cone, Mou na wenzao. Sasa Side forward ambaye hana consistence ya kufunga na wala kutengeneza magoli bado weye unamuona ni mtu wakukupa mafanikio bila ya shaka itakua una matatizo.
Salah na Mane wanacheza position sawa na Willian, Tizama magoli mangapi wanafunga na assist ngapi wanatoa, hicho ni kipimo kidogo tu cha kumfahamu kama jamaa ni ovyo sana. na hilo suala sio msimu huu, pitia misumu yote aliyocheza Chelsea.
 
Hayo ni mitizamo, mahaba na mapenzi yako, na kila mtu anaona impendezavyo, tusubiri tuone mtizamo wa nani uko sawa
Sina haja ya kuendelea kubishana na mtu mwenye mahaba. Ila mimi nitabakia pale pale, wachezaji wengine wamepwaya kwa sababu ya timu nzima kuwa kwenye bad form iliyosababishwa na poor motivation ya timu ambayo nadhani hawasiliani vizuri na kocha na baadhi ya wachezaji kuwa poor quality, kwa case ya Jourgninho unaweza kuwa right labda anatakiwa kuzoea EPL, ila kwa case ya Willian, Luiz I still embrace my stand. Na kwa Kocha bado nasema kocha ni mzuri 4-3-3 ikifanya kazi lakini isipofanya kazi hana tactics, hana techniques wala hana strategic plan B kama walivyo makocha wazoefu
Tatizo la Chelsea linaanzia kwenye management.
1. Policy yetu ya kusajiri wachezaji ni mbovu kabisa. Kocha hana say kubwa katika ununuzi wa wachezaji. Na hii inasababisha wachezaji wengi wanaonunuliwa kuflop kwa sababu wanashindwa kufit katika mfumo wa kocha.
Mfano wachezaji kama Bakayoko, Alvaro Morata, Giroud, Drinkwater, Zapacosta, na yule maraster wote wameflop kwa sababu wamenunuliwa bila kujali kama wanafit katika mfumo wa kocha aliyekuwepo au lah.

Liverpool, Man City na Tottenham ambao wameshika nafasi za juu kwenye ligi, makocha ndo mamenagers na wanakuwa na say kubwa mchezaji anapotaka kuletwa kwenye timu zao.

Wachezaji waliopo Sarri kawakuta isipokuwa Jogihno, hivyo wanafundishwa falsafa mpya ya kucheza ni vigumu sana. Kumbuka wengi wa wachezaji wa Chelsea wamefundishwa na makocha 3 wakiwa hapa Chelsea na wengine zaidi. Sasa wanachanganywa kila msimu wanafundishwa new ways of playing which are contrary to the ones they used to know. Hata wewe ungekuwa mchezaji lazima uchanganyikiwe. Na hiki ndo kinatokea kwa Kante, Alonso, Willian na hata Hazard.

Haya yote ni matatizo ya uongozi wa Chelsea.

2. Chelsea hakuna uvumilivu kwa makocha. Kumbuka kila kocha ana aina ya wachezaji anaowahitaji ili kucheza aina ya mpira anaoufundisha. Na pia kumbadili acheze coache's way of football inachukua muda.
Kante alifaa sana kwa mfumo wa Conte ila sasa ni useless kwa mfumo wa Sari na hivyo ametafutiwa nafasi mbadala ambayo hata hafai kucheza hapo ili aendee kuwa katika kikosi cha kwanza.

Willian, Pedro, Hazard, Alonso, Kovacic wote wanajifanya kupiga chenga chenga wakati sote tunafahamu mfumo wa Sarri ni kupress at a high speed. Sasa utapress vipi wakati timu nzima kila mtu anataka kupiga chenga watu angalau wawili? Lakini ndivyo walivyozoea. Tulikuwa na Moses sasa hivi amesahaulika. Si ajabu hata kocha atakayekuja anaweza kuwabenchi miongoni mwa hawa wanaopata nafasi first eleven.

Guadiola alifukuza wote wasioendana na mfumo wake pale City, pale Liverpool Klopp kaondoa wasiomfaa na hata wale hasiowataka kwenye kikosi chake wanasugua benchi, Tottenham sote tunaijua kwamba wachezaji wamekaa na kocha kwa muda mrefu kuna chemistry nzuri kati ya kocha na wachezaji.

So wadau tusitegemee miujiza kutokea kama ilivyokuwa huko nyuma. Ni makocha wachache aina ya Conte wanaweza kukupa matokeo msimu wao wa kwanza kwenye timu na hata hivyo hawawezi kuonyesha consistence kwa sababu matatizo yetu ni very deep alafu tunatumia quick fix approaches. Tusitegemee makubwa mpaka uongozi wa Chelsea ubadilike. Mshandani umekuwa mkubwa.Hatuwezi kucompete na wenzetu wenye long term plans.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
We una point gani??? Nimekuuliza unadhan solution ni kufukuza kocha? Utafukuza wangap? Liverpool na man city wamewasubr makocha wao mpka ku implement philosophy zao! Na waliwapa hela kusajili. Unajua Sera ya kusajili ya Chelsea?
Sibishan na wavuta bangi. Mwehu ww
Mkuu uko sahihi. Tatizo la Chelsea ni
1. Policy za usajiri zisizozingatia aina ya wachezaji anaohitaji kocha. Marina yeye anafikiria kutengeneza hela tu.

2. Makocha kutopewa muda wa kuimplent falsafa zao za uchezaji.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
We una point gani??? Nimekuuliza unadhan solution ni kufukuza kocha? Utafukuza wangap? Liverpool na man city wamewasubr makocha wao mpka ku implement philosophy zao! Na waliwapa hela kusajili. Unajua Sera ya kusajili ya Chelsea?
Sibishan na wavuta bangi. Mwehu ww

Unamwita Mtu aliyekwisha kuokoka kuwa ni Mvuta bangi?
 
Tatizo la Chelsea linaanzia kwenye management.
1. Policy yetu ya kusajiri wachezaji ni mbovu kabisa. Kocha hana say kubwa katika ununuzi wa wachezaji. Na hii inasababisha wachezaji wengi wanaonunuliwa kuflop kwa sababu wanashindwa kufit katika mfumo wa kocha.
Mfano wachezaji kama Bakayoko, Alvaro Morata, Giroud, Drinkwater, Zapacosta, na yule maraster wote wameflop kwa sababu wamenunuliwa bila kujali kama wanafit katika mfumo wa kocha aliyekuwepo au lah.

Liverpool, Man City na Tottenham ambao wameshika nafasi za juu kwenye ligi, makocha ndo mamenagers na wanakuwa na say kubwa mchezaji anapotaka kuletwa kwenye timu zao.

Wachezaji waliopo Sarri kawakuta isipokuwa Jogihno, hivyo wanafundishwa falsafa mpya ya kucheza ni vigumu sana. Kumbuka wengi wa wachezaji wa Chelsea wamefundishwa na makocha 3 wakiwa hapa Chelsea na wengine zaidi. Sasa wanachanganywa kila msimu wanafundishwa new ways of playing which are contrary to the ones they used to know. Hata wewe ungekuwa mchezaji lazima uchanganyikiwe. Na hiki ndo kinatokea kwa Kante, Alonso, Willian na hata Hazard.

Haya yote ni matatizo ya uongozi wa Chelsea.

2. Chelsea hakuna uvumilivu kwa makocha. Kumbuka kila kocha ana aina ya wachezaji anaowahitaji ili kucheza aina ya mpira anaoufundisha. Na pia kumbadili acheze coache's way of football inachukua muda.
Kante alifaa sana kwa mfumo wa Conte ila sasa ni useless kwa mfumo wa Sari na hivyo ametafutiwa nafasi mbadala ambayo hata hafai kucheza hapo ili aendee kuwa katika kikosi cha kwanza.

Willian, Pedro, Hazard, Alonso, Kovacic wote wanajifanya kupiga chenga chenga wakati sote tunafahamu mfumo wa Sarri ni kupress at a high speed. Sasa utapress vipi wakati timu nzima kila mtu anataka kupiga chenga watu angalau wawili? Lakini ndivyo walivyozoea. Tulikuwa na Moses sasa hivi amesahaulika. Si ajabu hata kocha atakayekuja anaweza kuwabenchi miongoni mwa hawa wanaopata nafasi first eleven.

Guadiola alifukuza wote wasioendana na mfumo wake pale City, pale Liverpool Klopp kaondoa wasiomfaa na hata wale hasiowataka kwenye kikosi chake wanasugua benchi, Tottenham sote tunaijua kwamba wachezaji wamekaa na kocha kwa muda mrefu kuna chemistry nzuri kati ya kocha na wachezaji.

So wadau tusitegemee miujiza kutokea kama ilivyokuwa huko nyuma. Ni makocha wachache aina ya Conte wanaweza kukupa matokeo msimu wao wa kwanza kwenye timu na hata hivyo hawawezi kuonyesha consistence kwa sababu matatizo yetu ni very deep alafu tunatumia quick fix approaches. Tusitegemee makubwa mpaka uongozi wa Chelsea ubadilike. Mshandani umekuwa mkubwa.Hatuwezi kucompete na wenzetu wenye long term plans.



Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na point nzuri ulizozielezea kwa mapana, bado kocha ana shida na wachezaji. Kawatukana sana huko nyuma na sijui kafanya nini ili kufagia hewa chafu.
Nikumbushe tu
  1. Kuwaita wachezaji wagumu kumotivate
  2. Hawana mental strength
  3. Hazard ni mbinafsi na hana sifa za kuwa kiongozi
  4. Ana miaka 28 kwa hiyo anaweza kuhama
Hivyo vijembe vyote vinatosha kuondoa morally uwanjani
 
Zizzu on Chelsea Job
Zinedine Zidane has reportedly laid out his terms after informing Chelsea that he is interested in becoming their next manager.

The former Real Madrid boss, who won three Champions League titles in three years at the Bernabeu, has been strongly touted as a possible successor for under-fire boss Maurizio Sarri.

Chelsea are rumoured to be weighing up whether to part company with Sarri after less than a year at the helm following an underwhelming run of results and concerns over the playing style.

The Sun reports that Zidane is keen to discuss the job as he feels he can turn the club into contenders once again, but he will only do it on his own terms.

It is claimed that the Frenchman has asked for a £200m transfer kitty to strengthen the squad, and he wants a major say in who joins and leaves.

Zidane also wants Eden Hazard to stay in place, despite the Belgian winger angling for a move to Madrid.

A big week for Sarri starts with Monday's FA Cup fifth-round tie against Manchester United and culminates in the EFL Cup final against Manchester City.

Sarri akifungwa na Ole Gunar halafu tena akafungwa na Pep kwenye Karabao Final hana kazi, Darajani hamna uvumilivu, sisi tunataka matokeo ya haraka, matokeo ya polepole tuwaachie Arsenal na Liverpool
 
Zizzu on Chelsea Job
Zinedine Zidane has reportedly laid out his terms after informing Chelsea that he is interested in becoming their next manager.

The former Real Madrid boss, who won three Champions League titles in three years at the Bernabeu, has been strongly touted as a possible successor for under-fire boss Maurizio Sarri.

Chelsea are rumoured to be weighing up whether to part company with Sarri after less than a year at the helm following an underwhelming run of results and concerns over the playing style.

The Sun reports that Zidane is keen to discuss the job as he feels he can turn the club into contenders once again, but he will only do it on his own terms.

It is claimed that the Frenchman has asked for a £200m transfer kitty to strengthen the squad, and he wants a major say in who joins and leaves.

Zidane also wants Eden Hazard to stay in place, despite the Belgian winger angling for a move to Madrid.

A big week for Sarri starts with Monday's FA Cup fifth-round tie against Manchester United and culminates in the EFL Cup final against Manchester City.

Sarri akifungwa na Ole Gunar halafu tena akafungwa na Pep kwenye Karabao Final hana kazi, Darajani hamna uvumilivu, sisi tunataka matokeo ya haraka, matokeo ya polepole tuwaachie Arsenal na Liverpool
200 atapata ila sijui kama eden hazard atabaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zizzu on Chelsea Job
Zinedine Zidane has reportedly laid out his terms after informing Chelsea that he is interested in becoming their next manager.

The former Real Madrid boss, who won three Champions League titles in three years at the Bernabeu, has been strongly touted as a possible successor for under-fire boss Maurizio Sarri.

Chelsea are rumoured to be weighing up whether to part company with Sarri after less than a year at the helm following an underwhelming run of results and concerns over the playing style.

The Sun reports that Zidane is keen to discuss the job as he feels he can turn the club into contenders once again, but he will only do it on his own terms.

It is claimed that the Frenchman has asked for a £200m transfer kitty to strengthen the squad, and he wants a major say in who joins and leaves.

Zidane also wants Eden Hazard to stay in place, despite the Belgian winger angling for a move to Madrid.

A big week for Sarri starts with Monday's FA Cup fifth-round tie against Manchester United and culminates in the EFL Cup final against Manchester City.

Sarri akifungwa na Ole Gunar halafu tena akafungwa na Pep kwenye Karabao Final hana kazi, Darajani hamna uvumilivu, sisi tunataka matokeo ya haraka, matokeo ya polepole tuwaachie Arsenal na Liverpool
Makombe ndo muhimu mkuu ila club club need to build it's identity. Changing coaches after every season haitatusaidia.

1. Kwanza mazingira ya mpira yamebadilika Uingereza karibia klabu sita za mpira zinaweza kununua wachezaji ghari na kutengeneza timu zenye kuleta ushindani mkubwa. Kipindi kile tunabeba makombe kwa style ya kubadilisha makocha ilikuwa ni Man U ndo walikuwa na uwezo wa kusajiri wachezaji mahiri na Man City ilikuja kuibuka baadae. Liverpool walikuwa na wachezaji wa ovyo, Arsenal hawakuwa na nguvu ktk transfer market, Tottnham walikuwa kama Everton tu.

This time things have changed.Ushindani umeongezeka na hivyo hauna muda wa wachezaji kuadapt.

2. Pili ili wachezaji waadapt haraka kwa mfumo mpya wa kocha unatakiwa uwe na world class players. Wachezaji aina ya Hazard, Aguero, VVd, Kante, De Bryuin... ndo wanaweza kuadapt haraka kumeet mahitaji ya kocha ndani ya muda mfupi. Hawa wachezaji aina ya Barkey, Pedro, Alonso... ni bure kabisa wanahitaji muda kuadapt new system.

Ni tofauti na wale wachezaji tuliobeba nao kombe 2010 tukiwa na Carlo Anselotti.
John Terry,
Ivanovic,
Asheley Coley,
Calvaliho,
Michael Barack,
J. Cole,
Deco,
Essien,
Lampard,
Malouda,
Matic,
John Mikel,
Anelka,
Drogba,
Salmon Kalou,
Paulo Ferreira na wengineo.

Hao ni baadhi ktk kikosi cha msimu wa 2009/2010 mwaka ambao tulibeba ambao tulibeba ndoo ya EPL na kucheza fainali Uefa.
Hao wachezaji hata umpe Klopp, Zidane, Mourihno, Achelotti au kocha yeyeto ndani ya msimu mmoja wanakupa matokeo unayoyataka.

Sasa walinganishe na Alonso, Luiz, Azpillicueta, Kovacic, Barkley, Willian, Pedro, Ludiger uone kama kuna uhusiano. Sijui kwenye kikosi hiki ni nani angeweza kupata namba kwenye kikosi cha 2009/2010 tofauti na Hazard au Kante.

So mm nafikiri tumpe Sarri muda ajenge falsafa yake na tumtimizie mahitaji yake. Tumjudge baada ya misimu miwili. Itakuwa rahisi kucheza zama hizi tukiwa na identity yetu ya mpira. Leo unamnunua Jogihno for more than £50m alafu unamleta Zidane msimu unaofuata unapigwa hasara.

JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom