Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chakula pika kidogo maana washabiki wa liverpool hatutokula

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha na nyie ni wafiwa[emoji23][emoji23][emoji23]tunatambua uwepo wa ndugu wa marehemuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
No way in hellllllllllll[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Halafu uje basi na wewe maana unafuraha sana kile kitu kitanoga







God is a God of hearts
 
Bajeti haitoshi kwahiyo leo kila mtu kitumbua kimoja tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepata taarifa kuna baadhi ya Liverpool hawatokula[emoji23][emoji23][emoji23]hivyo tupike tuu kapilao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]budget itatosha.
Huu msiba mkubwa sana

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Hongera unawashabikia mabingwa braza utazeeka Liverpool kamwe hawezi kuwa bingwa bora ufurahie mafanikio ya City

Mimi sisherehekei Man City kuwa Bingwa coz najuwa wazi kuwa bingwa ni Liverpool FC

Ninachosherehekea ni Chelsea kukosa hata Europa manake alikuja na tafrani ya Joginho na Sarriball [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani Man city wanacheza na timu gani? Jkt oljoro au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]piiiiiiiiga haoooooo

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Tatizo yule kocha mvuta sigara alisema atabadilisha uchezaji leo sasa kazi ipo







God is a God of hearts
 
Naruhusiwa kuanza kupika chakula ???
Au nisubiri subiri?
Waombolezaji tushaanza kusikia njaa, huyo mgonjwa hawezi kupona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora nianze kupikaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Utakula ngumi live toka nduki hapa







God is a God of hearts
 
Pumzika hapa mzee ule fegi vizuri
IMG-20190209-WA0004.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom