Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

yaani hawa waliopigwa leo 3 mtungi ndio wamewafunga nyinyi 4 mtungi......shubamitt nyinyi hamna timu ila muna genge la wavuta bange
 
yaani hawa waliopigwa leo 3 mtungi ndio wamewafunga nyinyi 4 mtungi......shubamitt nyinyi hamna timu ila muna genge la wavuta bange
I'm not playing a role.I'm being myself,whatever the hell that is. You know what role are you playing in yourself? = ………………………...
 
City leo anaenda kuweka kambi kwenye half yenu.....na uzuri wa guardiola yeye hata ukimpakia bus bado anaweza kufungua makufuli na kumwaga pombe yote
 
Manchester City vs Chelsea
Ukiweka Sh 10,000 kwamba Chelsea tutashinda leo SportPesa utajishindia Tsh 51,760 ndani ya Dk 90 Tu bila kutoa jasho zaidi ya kupanda kwa presha na kushuka kazi ni kwako.
Screenshot_20190210-091259.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani hawa waliopigwa leo 3 mtungi ndio wamewafunga nyinyi 4 mtungi......shubamitt nyinyi hamna timu ila muna genge la wavuta bange
Mashabiki wote wa Liverpool mkapimwe akili maana haziko sawa, hata hamna picha ya ubingwa inafananaje kuwa bingwa. 2013-14 mlituletea mabangi hivi hivi halafu game za mwisho mkauza na kuwapa Man city ubingwa
I strongly believe hii itajirudia mwaka huu
EPL 2013-14 Table.jpg
 
Willian refusing to pass to a striker again just like did with Morata, easy pass & he sees him. Higuain will put it in left side of the goal easy. Nope,Willian the selfish fraud blazez it over the bar instead of helping main striker score goals & have more confidence".
 

Attachments

  • IMG-20190210-WA0002.jpg
    IMG-20190210-WA0002.jpg
    46.9 KB · Views: 24
  • IMG-20190210-WA0001.jpg
    IMG-20190210-WA0001.jpg
    44.3 KB · Views: 24
ha ha ha ha ha ha ha ha ha

daah sasa chelsea mshawahi kuona
maji yanapanda mlima yaani maji nasema

cityzen chairman am here
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom