Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Crystal Palace 0-1 Chelsea - Match Summary:

- Better all round performance with a striker.
- World Class ball from David Luiz
- Kante is adapting offensively with that great goal
- We need Kovacic back in the team
- Hazard was great as always

Vital win for top 4 race. #CFC
How about Willian
 
Kante
1546206123467.gif
 
Chelsea need players who can provide goal threat and Pulisic is not a goal-scorer. He is more of a creator and unless Chelsea buy a top-class striker, Pulisic alone won't be that good.

Tatizo chelsea mna tamaa sana, nyie mnatakiwa msajil mtu mwenye uwezo w kufunga na sio kumtegemea morata na Giroud.

Huyo pulisic liver tulikuwa tunamtaka kwa reasons muhimu kabsa asaidie kutengenezea chances zaid za kufunga magoli wakna salah, Firmino na Mane.

Ila nyie kisa kusikia wanaume tunamtaka na nyie mnaenda hapo hahaha mtafeli sana mwaka huu
 
Yani nyie bana. Mkizidisha goli ni mbili tena kwa MBINDE kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Chelsea haifanyi vibaya kwenye aspect zote muhimu za league kulingana na udhaifu wa kukosa strikers wazuri

Goals scored kwa top 6 ni
  1. Man City - 54
  2. Liverpool - 48
  3. Tottenham - 45
  4. Arsenal - 42
  5. Man United - 41
  6. Chelsea - 38*
Goals conceded kwa top 6 ni
  1. Liverpool - 8
  2. Chelsea - 16
  3. Man City - 16
  4. Tottenham - 21
  5. Arsenal - 30
  6. Man United - 32
Games won kwa top 6 ni
  1. Liverpool - 17
  2. Man City - 15
  3. Tottenham - 15
  4. Chelsea - 13
  5. Arsenal - 11
  6. Man United - 10
Games lost kwa top 6 ni
  1. Liverpool - 0
  2. Man City - 3
  3. Chelsea - 3
  4. Arsenal - 4
  5. Tottenham - 5
  6. Man United - 5
Games drawn kwa top 6 ni
  1. Tottenham - 0
  2. Liverpool - 3
  3. Man City - 3
  4. Chelsea - 4
  5. Arsenal - 5
  6. Man United - 5
 
Players with 8 or more goals+assists in the Top 6 clubs:

Man City: 5
Liverpool: 4
Tottenham: 3
Man Utd: 3
Arsenal: 2

Chelsea: 1

Tusajiri goal threat RW na CF
 
Eden Hazard this calendar year (competitive games only):

46 Starts.
24 Goals.
16 Assists.
234 Successful Take-Ons.
150 Created Chances.
24 Man of the Matches.
 
Olivier Giroud left Selhurst Park on crutches after the match.

{Dailymail}

Not a good sign.

January tusajiri maana kumtegemea morata ni ujinga.
 
Kepa Arrizabalaga Appreciation
.
26 games played in all competitions;
- 14 clean sheets
- 17 goals conceded
- 91% passing accuracy
- 65% long ball “
- 2 saves/game
- comfortable with both feet.
.
At 24yrs old, £72m is a steal from Athletic Bilbao. Massive upgrade on TBO👏
 
Chelsea haifanyi vibaya kwenye aspect zote muhimu za league kulingana na udhaifu wa kukosa strikers wazuri

Goals scored kwa top 6 ni
  1. Man City - 54
  2. Liverpool - 48
  3. Tottenham - 45
  4. Arsenal - 42
  5. Man United - 41
  6. Chelsea - 38*
Goals conceded kwa top 6 ni
  1. Liverpool - 8
  2. Chelsea - 16
  3. Man City - 16
  4. Tottenham - 21
  5. Arsenal - 30
  6. Man United - 32
Games won kwa top 6 ni
  1. Liverpool - 17
  2. Man City - 15
  3. Tottenham - 15
  4. Chelsea - 13
  5. Arsenal - 11
  6. Man United - 10
Games lost kwa top 6 ni
  1. Liverpool - 0
  2. Man City - 3
  3. Chelsea - 3
  4. Arsenal - 4
  5. Tottenham - 5
  6. Man United - 5
Games drawn kwa top 6 ni
  1. Tottenham - 0
  2. Liverpool - 3
  3. Man City - 3
  4. Chelsea - 4
  5. Arsenal - 5
  6. Man United - 5

Kweli bingwa kashajulikana sema ni ubishi tu wa watu
 
Mjue CHRISTIAN PULISIC Kifaa kinachowindwa Darajani majira ya JOTO.


 
Roberto Martinez -

“Eden Hazard will never let you down. He honestly cares about the people around him. I don’t know if a new challenge would be good for him. He knows how much they love him at Chelsea. And there’s chemistry between Sarri and him” (via HLN)
 
Official: Chelsea have recalled Charlie Colkett from his loan spell with Shrewsbury Town.
 
Lyon have rejected a £45m offer from Manchester City for their 22-year-old midfielder Tanguy Ndombele.

{The Times}

They can have him, we should target Aouar as Fabregas replacement.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom