Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usimfananishe Morata na Higuan. Kwanza physicality yao ni tofauti. Na higuan anaweza kukupa magoli zaidi ya 16 kwa msimu. Issue sio ubabe 😂😂 ishu kubwa hapo ni kumalizia tu Higuani ni mzuri tofauti na Morata, kwanza anapiga mashuti na pili ana nguvu kwahiyo huwezi kumfananisha na Morata ambae anakosa yeye na goli. Higuain msimu huu kwa AC Milan amepoteza nafasi 3 kubwa huoni kama ni ndogo sana. Short term atatusaidia hata mwisho wa msimu kuwa top 4. Hazard--Higuan-Fekir. Naamin karibun tutaona hii front. Zmebaki cku chache tyu usajir uanze
 

Attachments

  • IMG-20181226-WA0026.jpg
    IMG-20181226-WA0026.jpg
    40.8 KB · Views: 39
  • IMG-20181226-WA0024.jpg
    IMG-20181226-WA0024.jpg
    34 KB · Views: 34
  • IMG-20181225-WA0018.jpg
    IMG-20181225-WA0018.jpg
    69.4 KB · Views: 33
Alonso Jana alikuwa anafanya jogging uwanjan
Nilimshauri Sarri ambadilishie Alonso namba amweke kuwa left wing akakataa sasa Alonso imekuwa mazoea nafasi yake uwanjani ni tupu kwa sababu sasa hivi harudi nyuma tena na Sarri ananyamaza tu mpaka madhara mengi zaidi yatokee
 
Higuan anfit kwenye formation ya Sarri, akiwa nae Napoli 2015/16 alitumbukiza magoli 36 kwa msimu mmoja. Nafikiri angalau anaweza kuwa suluhisho la muda mfupi
Jorginho wa Napoli ya Sarri angalia anachokifanya sasa ivi. Sitaahangaa hata ukame wa Higuain kama atakuja.
 
Jorginho wa Napoli ya Sarri angalia anachokifanya sasa ivi. Sitaahangaa hata ukame wa Higuain kama atakuja.
Jorginho sio kwamba hachezi vizuri, Tatizo lake hatoi dangerous passes ambayo jana alijirekebisha, pasi iliyosababisha penalti ilitoka kwa Jorginho. Akiendelea hivi tutafika tu UEFA
 
Jorginho sio kwamba hachezi vizuri, Tatizo lake hatoi dangerous passes ambayo jana alijirekebisha, pasi iliyosababisha penalti ilitoka kwa Jorginho. Akiendelea hivi tutafika tu UEFA
Tatizo kubwa la mashabiki wa Chelsea nimegundua wamezoea kombe la EPL, ikipita miaka miwili matatizo yanaanza, mpeni Sarri angalu mwaka mmoja na pia apewe wachezaji anaowahitaji, kumbuka mchezaji wake aliyekuja nae ni Jorginho tu wengine kawaridhi kutoka kwa Mou na Conte. Hata hivyo Higuani hasajiliwi ila ni swap tu, maana yake asipotufaa anarudi kwao
 
Usimfananishe Morata na Higuan. Kwanza physicality yao ni tofauti. Na higuan anaweza kukupa magoli zaidi ya 16 kwa msimu. Issue sio ubabe [emoji23][emoji23] ishu kubwa hapo ni kumalizia tu Higuani ni mzuri tofauti na Morata, kwanza anapiga mashuti na pili ana nguvu kwahiyo huwezi kumfananisha na Morata ambae anakosa yeye na goli. Higuain msimu huu kwa AC Milan amepoteza nafasi 3 kubwa huoni kama ni ndogo sana. Short term atatusaidia hata mwisho wa msimu kuwa top 4. Hazard--Higuan-Fekir. Naamin karibun tutaona hii front. Zmebaki cku chache tyu usajir uanze
Hatuwezi kuwafanisha ila tunaongelea uhalisia. Huyu Morata alipokuwa Juve alikua anatupia karudi Madrid akawa anatupia japo hakuwa anapata namba sana kaja EPL kapata bonge la Flop kwa nini mkuu.? Hii ni EPL tofauti na ligi nyingine, ukizingua kidogo utaandamwa na vyombo vya habari mpk ukome. Epl ni ligi ngumu tofauti na huko kwingine kwa umri wake sioni kama atakua msaada kwa hiki kipindi kilichobaki.

Hata akija itakua ni sawa na kamari tu.
 
Tatizo kubwa la mashabiki wa Chelsea nimegundua wamezoea kombe la EPL, ikipita miaka miwili matatizo yanaanza, mpeni Sarri angalu mwaka mmoja na pia apewe wachezaji anaowahitaji, kumbuka mchezaji wake aliyekuja nae ni Jorginho tu wengine kawaridhi kutoka kwa Mou na Conte. Hata hivyo Higuani hasajiliwi ila ni swap tu, maana yake asipotufaa anarudi kwao
Mkuu kama unafuatilia vizuri kwa muda wa misimu mitatu iliyopita Chelsea tumepoteza sana nguvu ya usajili. Yan ilikua ukisikia tetesi tu unajua Chelsea hamkosi huyo mchezaji. Nakumbuka kipindi kile Mata anawaniwa kulikua na timu nyingi zinamtaka lakini tulifanikiwa kumchukua. Angalia sa ivi kila mchezaji anatakiwa lakini mara aje kwa mkopo akija basi siyo sajili nzuri. Angalau kwa Kante ulifanyika usajili mzuri.

Hatumlaumu Sarri ila tatizo ni bodi ya usajili haitampa anachotaka mwishowe ataonekana mbaya.
 
Nilimshauri Sarri ambadilishie Alonso namba amweke kuwa left wing akakataa sasa Alonso imekuwa mazoea nafasi yake uwanjani ni tupu kwa sababu sasa hivi harudi nyuma tena na Sarri ananyamaza tu mpaka madhara mengi zaidi yatokee
duuh! upo kwenye bench la ufundi mkuu!
 
Mkuu kama unafuatilia vizuri kwa muda wa misimu mitatu iliyopita Chelsea tumepoteza sana nguvu ya usajili. Yan ilikua ukisikia tetesi tu unajua Chelsea hamkosi huyo mchezaji. Nakumbuka kipindi kile Mata anawaniwa kulikua na timu nyingi zinamtaka lakini tulifanikiwa kumchukua. Angalia sa ivi kila mchezaji anatakiwa lakini mara aje kwa mkopo akija basi siyo sajili nzuri. Angalau kwa Kante ulifanyika usajili mzuri.

Hatumlaumu Sarri ila tatizo ni bodi ya usajili haitampa anachotaka mwishowe ataonekana mbaya.

Mkuu haudhani hili linaweza kuwa linachangiwa na issue za kisiasa?

Maana kama unavyojua Tajiri kabaniwa kuishi uingereza, pia kabaniwa kutengeneza uwanja. Last time nakumbuka aliruhusiwa kuwa anakuja kuangalia game na kuondoka, kwa hiyo hata yeye hana motivation ya kuinvest kwenye timu inaweza kuwa imepungua.
 
Mkuu haudhani hili linaweza kuwa linachangiwa na issue za kisiasa?

Maana kama unavyojua Tajiri kabaniwa kuishi uingereza, pia kabaniwa kutengeneza uwanja. Last time nakumbuka aliruhusiwa kuwa anakuja kuangalia game na kuondoka, kwa hiyo hata yeye hana motivation ya kuinvest kwenye timu inaweza kuwa imepungua.
Issue za kisiasa zimeanza mwaka huu. Chelsea tumepoteza nguvu katika usajili toka alipoondoka yule mnigeria Michael Emenalo. Mpaka sasa tunafanya sajili za kawaida hatuna nguvu kubwa katika kushawishi wachezaji.
 
Issue za kisiasa zimeanza mwaka huu. Chelsea tumepoteza nguvu katika usajili toka alipoondoka yule mnigeria Michael Emenalo. Mpaka sasa tunafanya sajili za kawaida hatuna nguvu kubwa katika kushawishi wachezaji.
Mpaka Leo najiuliza kwanini huyo mzee baha Emenalo aliondoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom