Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
EPL ni ngumu Sana, na mbaya zaidi kila mwaka inazidi kuwa ngumu , unatakiwa kuwa na kikosi kipana Sana kuweza kumaintain EPL, FA na champions league , next match Una Wolverhampton, hawa mbweha ni mabingwa wa kung'ang'ania timu kubwa
Hawa wanaweza kusumbua ila watakufa, shida iko games za tar 29 vs Arsenal na 3 Jan vs Man City. Hapo ndo Man City anao uwezo wa kurudi juu.
Yeye ana away game vs Leicester, sina uhakika kama Leicester wataweza kuhold.