Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

[emoji122] Didier Drogba has retired after a legendary career,

1 x Champions League
4x Premier League
4x FA Cup
3x League Cup
2x Community Shield
2x PL Golden Boot
1x Süper Lig
1x Turkish Cup
1x Turkish Super Cup
2x African POTY
1x Turkish POTY

[emoji146] The king, @didierdrogba. iChelseaTweets on TwitterView attachment 927362
Katika mechi hiyo nakumbuka Drogba alifunga goli la kichwa la karne kuisawazishia Chelsea na kufunga penalty ya mwisho (Chelsea aikashinda kwenye penalties dhidi ya Bayern Munich)
Man of the Match akiwa Drogba (Goli la kuanzisha) na Peter Cech kuokoa penalti ya dakika za mwisho ya Roben
 
Only unbeaten team
Chelsea FC
seputar.chelsea___Bp7InQMg8fc___.jpg
 
Katika mechi hiyo nakumbuka Drogba alifunga goli la kichwa la karne kuisawazishia Chelsea na Chelse aikashind akwenye penalties dhidi ya Bayern Munich
Man of the Match akiwa Drogba (Goli la kuanzisha) na Peter Cech kuokoa penalti ya dakika za mwisho ya Roben
Wakati huo pia Carhill na Luiz walikuwa katika peak form
 
Jorginho ndio kiranja wa team nn?maana naona mara nyingi akimpa mtu pass anamuelekeza sehemu ya kuipeleka hyo pass kwa mikono kabsa,nadhan huwa anasema mpe yule
Sehemu anapokaa anautazama uwanja vizuri ana macho kama Tai na kazi yake ni kuhakikisha team inamiliki mpira na kutengeneza nafasi
Hata fabrigas ana hii style ya kuelekeza na wote wanacheza namba 1 kwenye team
 
Bournemouth striker Callum Wilson is a £35m target for Chelsea. The 26-year-old earned his first England call-up yesterday. (Source: Sun Sport)
 
The man kicking this ball is now officially done with his playing career ... and what a career it was. He gave us Chelsea fans one of the greatest nights of our lives & many more great moments.

King Drogba, we love you 💙
 
Bournemouth striker Callum Wilson is a £35m target for Chelsea. The 26-year-old earned his first England call-up yesterday. (Source: Sun Sport)
Wamuuze halafu wao wakamnunue Samata 9. Football haina nidhamu, Mshambuliaji mzuri kama Samatta anauzwa Mil 4 wakati Callum ambaye anaweza hata asimfikie Samatta anauzwa Mil 35
 
Za kuhesabu ni zile zilizogonga mwamba
Ila ndio mpira pamoja na yote hayo tumeshinda
Bado Cahill na christiensen hawafanyi ipasavyo pale beki ya kati
Palmieri huyu anaifanya kazi yake vizuri mno
Zapacosta anajitahidi pia
Kwa jana Loftus hakuwa vizuri kabisa
Hata baklay pia game ilimkataa
Hazard walimkamia mno
Pedro kidogo
Giroud alijitahidi kujiweka maeneo sahihi kama mshambuliaji
Hii team possession na passes ndio ziliwatesa bate borisov kwa jana

Man of the match kwangu kwa jana ni kati ya hawa wawili
Palmieri na Jorginho
pitia page ya sarri uone alivyohudhunika na mpira wa jan mahaba yasizid uwezo kk wote n BLUES FAN tunaipenda club
 
Kwa hiyo kugonga mwamba ndio goli kuingia
Au walishinda wao kwa kugongesha mwamba
inaonesha ni wazi wako active mbele basi n bahat na umakini ss ss tunapiga pas hata kuforce penalty tumeshindwa pitia page official fb ywitter uone alivyosema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom