Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

V

Kitu gani zaidi ya hizo goli nne katika mechi nne nafikiri

Nenda ka google. Hatuji hapa bila uhakika. Verde anamtaka mlinzi mzoefu kama Luiz Pia wanamtaka Willian na wameshaanza mazungumzo. Ila nawasiwasi kama Chelsea watamtoa Luiz
Yaah! Kwel kama jamaa anavyosema barca wana interest na wachezaj wetu(blue'z) wawil ambao ni willian & Luiz ila pia wao pia wamemweka meza Malcon kwa ajil hyo ili xana xanaaa wampate william
 
Kwangu mimi beki ina matatizo kiujumla haijakaa sawa sio luiz, rudiger, alonso au azpilicueta wote bado sana hawajawa serious kwenye ulinzi
Chelsea imekamilika katikati tu kwa mtazamo wangu
Tatizo ni kujisahau hasa pale wanapomilik mpira muda mrefu ni ludiger ndie anaye kaa nyuma
 
Suso
 

Attachments

  • Screenshot_20181107-091630.png
    Screenshot_20181107-091630.png
    112.4 KB · Views: 27
Antonio Conte is suing Chelsea for €10m (£8.7m). Chelsea are trying to reach a settlement but Conte is ready to take the matter to the court and now he wants €13million (£11.3m) for his final year + €10m (£8.7m) in damages. A total of €23m [Gazzetta dello Sport]
 
Eden Hazard is unlikely to travel to Belarus tomorrow with the Chelsea squad, who face BATE in the Europa League, in order to fully regain fitness (ES)
 
Chelsea's Europa League press conference is at 15:15 UK time (18:15 local) tomorrow, shortly after they arrive into Belarus. Maurizio Sarri and one player will be speaking ahead of BATE. #CFC #UEL
Kikosi chake kinajulikana
Caballero
Zapacosta
Palmieri
Christiensen
Cahill
Fabrigas
Loftus
Baklay
Pedro
Giroud
Odoi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom