lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,696
- 25,911
Hata lile goli la Palace, Luiz kapanda akachelewa kurudi. Kwa kweli Chelsea wanahitaji mabeki wa kusaidiana na Rudiger ili Luiz au Alonos wapande. Willian alishahojiwa na kumuelezea Luiz kuwa alikuwaga mshambuliaji hii ya beki naona haiwezi sana kama ya kushambulia na Alonso nae hivyo hivyo anapenda sana kuwa mbeleHata city ya Pep mwanzoni walifungwa sana lakini hivi sasa ni historia
Suala la ulinzi kuwa hovyo kwa chelsea ya Sarri ni mabeki wa kati kucheza sana juu wakati mwingine Mpaka karibu na msitari wa katikati
Rejea goli alilotufunga crystal palace jumapili
Lakini pia Alonso kwa sasa hawazii kabisa kukaba yeye akili yake na mfumo huu wa sarriball ni kushambulia tu ndio maana anatoa sana Assist na kufunga sana kama beki
Nafikiri tunahitaji mwaka mmoja mabeki kupunguza makosa yao kwenye hii sarriball
Asante