Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Sarri: “I appreciate very much the man as he is direct. If he has to say something to me, he does that. I like direct people. I like it very much." #CFC
Aje kuwa kocha mchezajiDrogba kocha, kucheza England tena hawezi labda China au Marekani
Nipo mkuu, nawafatilia sn humu hua napita kimya kimya tu lkn tuko pamojaUlipotelea wapi
Kuna meneja mmoja wa Singida United wakati wa kipindi cha michezo ITV aliita Lipuli FC Liverpool FC ni timu nzuri kwa kujifunga goli
Sijui sasa Liverpool ndio Lipuli au Vice versa
.@HazardEden10 on why neutral fans should support Chelseafc:
Bromance. iChelseaTweets on TwitterWachezaji wa chelsea wamegundua njia pekee ya hazard kubaki chelsea ni kumsifia tu
Wachezaji wa chelsea wamegundua njia pekee ya hazard kubaki chelsea ni kumsifia tu
Naona Lampard anaiomba klabu ya Chelsea iwaruhusu Fikayo Tomori na Mason Mount wacheze dhidi yetu wakati tutakapokutana dhidi yao (Derby County).
Sheria za mchezo zinasema wachezaji waliotolewa kwa mkopo hawaruhusiwi kucheza dhidi ya timu mama isipokuwa kwa makubaliano ya awali baina ya timu hizo mbili.
View attachment 884475
Mchezaji Kuhama Timu Kuna Njia Kuu 5.
1) Timu imuuze baada ya kupokea dau nono au haimuhitaji tena (eg. Kepa Mumeuziwa baada ya Kutoa dau nono).
2) Timu inamuuza Baada Ya Timu inayomuhitaji Kufikia Buyout Clause (eg. Suarez na Neymar).
3) Timu inamuuza Baada Ya Kubakisha Mwaka Mmoja tu Katika Mkataba Wake ili kuepuka Kuja kumpoteza bure baada ya Kumaliza Mkataba, hii inatokana na Mazungumzo ya Mkataba Mpya Kushindikana (eg. Courtois).
4) Kuforce kuuzwa Kwa Njia ambazo si za Kistaarabu (eg. Coutinho na Courtois pia anaingia).
5) Mchezaji Anasubiri Kistaarabu Kabisa Bila ya Kuforce Kuondoka Mpaka Mkataba Wake Umalizike na Kuondoka Bure.
Sasa Eden Hazard na Sadio Mane wanaingia hapo Katika Mamba 3 au 5 ndiyo Wanaingia.
Uyu dgo anatakiwa arudi aise..yasitukute ya KDB au Lukaku..In other news: Batshuayi anasema hatamani kubaki Valencia permanently. Anatamani kurudi Chelsea baada ya muda wake wa mkopo klabuni hapo.
Mpaka sasa akiwa Valencia amecheza jumla ya mechi 7 na kufunga goli moja tu.
Msimu ambao alinufaika sana ni alipokuwa kwa mkopo Borrusia maana alifunga magoli mengi kulinganisha na mechi alizocheza.
View attachment 884528
Arudi ama la?
HAPPY BIRTHDAY TO HIM...leo ametimiza miaka 25.
Hapo muweke Mane wako...Sioni Hazard akiondoka anytime soon!