Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Luiz mm simuamin kabsa hajitumi cku hiz. Uvivu na overconfidence na kukaba kwa macho. Maana pass hata Christensen ni mzuri sana
 
Roho mbaya itakuumiza siku zote. Kuna ubaya gani mtu kuleta mambo ya twitter humu. Alichofanya huyo jamaa kuna tofauti gani alicholeta huyo na nilicholeta mimi.? Poorest and lowest thinking ability.

Mara ya kwanza niliona kama wanakuonea kwa sababu sikujua ugomvi wenu ulipoanzia lakini sasa naona wewe ni mtu wa aina gani.

Ukitoa Copy & Paste Jengine Munaloweza Ni Hili Mipasho.

Halafu Mimi sina tabia ya Kuhitaji Huruma Ya Mtu.

Have a good day.
 
Sarri anasema ameshafanya maamuzi ya nani atakuwa captain wa timu ila hatotangaza mpaka atakapokaa kikao na wachezaji .
Je unafikiri nani anafaa kuwa captain?
Kwangu naona Azpilicueta aendelee tu
 
Sarri anasema ameshafanya maamuzi ya nani atakuwa captain wa timu ila hatotangaza mpaka atakapokaa kikao na wachezaji .
Je unafikiri nani anafaa kuwa captain?
Kwangu naona Azpilicueta aendelee tu
Naona akipewa Hazard.
 
Sarri anasema ameshafanya maamuzi ya nani atakuwa captain wa timu ila hatotangaza mpaka atakapokaa kikao na wachezaji .
Je unafikiri nani anafaa kuwa captain?
Kwangu naona Azpilicueta aendelee tu
bora mumpe yule shortman Hazard
 
Luiz mm simuamin kabsa hajitumi cku hiz. Uvivu na overconfidence na kukaba kwa macho. Maana pass hata Christensen ni mzuri sana
Nimeangalia mahijiano ya Luiz kipindi hili cha international break, ineonekana kuna kitu Sarri anakiona kwa Luiz, nikitulia nitaituma hapa
 
This is Chelsea.

Wikend tunahesabu ushindi mwingine.

Ni kawaida yetu.

Wale wengine wameshinda game nne tu wanajipa na uhakika wa ubingwa.

Come on #theBluez #londonIsalwayzBlue
4 games , 2goals ,2 assists ...je huu ndio msimu wa Hazard kufikisha 20+ goals za EPL .. msimu bado mbichiii
 
I really hope so.
Cahill was so bad last season mpaka watu tukiona Luiz amefanya silly mistakes tunamkumbuka Christensen instead of him, just imagine hapo kati wawepo Luiz na Cahill kwa formation hii ya Sarri
 
Huyu Ndiye Anayedeserve Kuwa Captain Wa Chelsea Kwasasa.
Ila tayarisheni Mchezaji Wa Kiengereza Kwa Ajili Ya Future Captain.
Deserve in what way? I think Azpi ana deserve zaidi ya Hazard kwa sasa.

Second point: Calum Hudson???
 
Deserve in what way? I think Azpi ana deserve zaidi ya Hazard kwa sasa.

Second point: Calum Hudson???

Hazard ana influence zaidi Kwa Wachezaji Wenzake na Washabiki Kuliko Azip.. Hata dressing room Ni Rahisi Kwake Kuiendesha.
 
Sarri anasema ameshafanya maamuzi ya nani atakuwa captain wa timu ila hatotangaza mpaka atakapokaa kikao na wachezaji .
Je unafikiri nani anafaa kuwa captain?
Kwangu naona Azpilicueta aendelee tu
Azpi ni bora aendelee kuwa captain ila nahisi atapewa Hazard kwa sababu alishasema toka kipindi cha pre-season.
 
Sarri anasema ameshafanya maamuzi ya nani atakuwa captain wa timu ila hatotangaza mpaka atakapokaa kikao na wachezaji .
Je unafikiri nani anafaa kuwa captain?
Kwangu naona Azpilicueta aendelee tu
Me naona Jorginho apewe nikimuangalia kwny video nying dressing room. Ni mgeni na mcheshi na hata uwanjani ni kama kiongoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom