eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Tofauti ya chelsea ya 2012 na ya sasa
Chelsea ya 2012 ilikuwa na watu wa kazi
Chelsea ya 2012 ilikuwa na wapiga mashuti ya kuogofya langoni mwa wapinzani
Chelsea ya 2012 kuanzia mabeki, viungo, na washambuliaji walikuwa wanajua nini wanakitaka na wanakitafuta na wanakipata
Chelsea ya sasa haina wapiga mashuti wa kuogofya
Haina watu wa kazi labda mmoja tu ngolo kante
Haina watu wanaojua kukaba na kuzuia mashambulizi
Niwatakie tu mchezo mwema ila kama shabiki wao sina imani
Wakifanikiwa hongera zao nyingi mno
Chelsea ya 2012 ilikuwa na watu wa kazi
Chelsea ya 2012 ilikuwa na wapiga mashuti ya kuogofya langoni mwa wapinzani
Chelsea ya 2012 kuanzia mabeki, viungo, na washambuliaji walikuwa wanajua nini wanakitaka na wanakitafuta na wanakipata
Chelsea ya sasa haina wapiga mashuti wa kuogofya
Haina watu wa kazi labda mmoja tu ngolo kante
Haina watu wanaojua kukaba na kuzuia mashambulizi
Niwatakie tu mchezo mwema ila kama shabiki wao sina imani
Wakifanikiwa hongera zao nyingi mno