Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #46,601
duu hili goli la pili ni superb
Unaweza ukaombea mkopo benki eti?! 😀😀😀
duu hili goli la pili ni superb
hahahhahahahahaUnaweza ukaombea mkopo benki eti?! 😀😀😀
Ni kwa sababu hujui Bakayoko anafanya kazi gani uwanjani. Siku ukielewa utaachaSi mbaya, japo nazidi kupata ukakasi uwepo wa Bakayoko though naona hata Drinkwater hayupo bench. Akizingua anaweza ingia Barkley.
Umeiona kazi ya Bakayoko leo? Were you satisfied?Ni kwa sababu hujui Bakayoko anafanya kazi gani uwanjani. Siku ukielewa utaacha
Acha masihara basiBombaaaa bombadiaaaa, bomba bombadiaaaaaa... Tunongezea Crouch tu pale mbeleee.. Nice weekend guys
Hah hah hah.. Au kama vipi hata Benteke au Carrol itapendezaaAcha masihara basi
It's true kwamba bakayoko isnt yet a complete midfielder. Lkn yuko vizuri sana kwenye defense, he is very good without a ball except that anahitaji kujifunza kumalizia pass za mwisho. Chelsea haipaswi kuwa timu ya kutumia tu vipaji ambavyo makocha wengine washajenga, Bali hata yenyewe inaweza kujenga watu wake. Conte sees some potentials in Bakayoko and that's what he tries to exploit. A guy is eager to emprove and besides he has a good discipline when on trainings and on matchUmeiona kazi ya Bakayoko leo? Were you satisfied?
Mimi excuse ninayoikubali ni tumpe muda, msimu ujao though nahisi Barkley akiweza kulink vyrma na Kante na majeruhi yakamuepuka hana kazi kubwa kumweka Bakayoko benchi.
Bakayoko leo amefanya vizuri sanaUmeiona kazi ya Bakayoko leo? Were you satisfied?
Mimi excuse ninayoikubali ni tumpe muda, msimu ujao though nahisi Barkley akiweza kulink vyrma na Kante na majeruhi yakamuepuka hana kazi kubwa kumweka Bakayoko benchi.
pamojachelsea kampa mtu 4- 0
Ila leo kajitahidi sana, hakuwa na makosa yale ya kijinga mara mpira umempita mara kashindwa kutuliza au katoa boko. Akiendelea hivi ataenda kuwa vile tulifikiri yupoBakayoko bado hajanionesha udambwidambwi wa kunishawishi kumkubali bado.