Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

WAKUU NAONA MANURE WAKO VIZURI SAIZ IV CC TUNAWEZA KWELI MTOA PALE NAFASI YAPILI WAKUU
 
christensen.jpg

sijawahi kuishabikia chelsea fc katika maisha yangu lakini kiukweli nimeanza kumuogopa huyu bwana mdogo Andreas Christensen, ana nidhamu ya kulinda kama john terry na ni simba mkimya kama ricardo carvalho.heshima kwake antonio conte kwa kukithamini kipaji cha andreas.
 
Wenga alishalalamikia mabasi ya Jose na jana yamemgonga sawasawa
23daccd76a1cc64f7d5669bda024b5b9.jpg
 
Tetesi
Chelsea wanasema afadhali wamuachilia kipa raia wa Ubelgijia Thibaut Courtois, 25, aondoke wakati mktaba wake utakamilika mwishoni mwa msimu mwaka 2019 badala ya kumuuza kwa Real Madrid mwisho wa msimu huu.
 
Tetesi
Meneja Antonio Conte ameiambia bodi ya Chelsea kushugulikia mikataba ya kipa Thibaut Courtois, 25, na mchezaji wa safu ya kati Eden Hazard, 26, kabla ya kuelekea kwa kombe la dunia wakichezea Ubelgiji. (Express)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom