atachukua 'pogba na lukaku.
morata mlimcheka alivokosa penati, vipi lukaku wenu tena?????
Hilo swali sijui kama litajibiwaatachukua 'pogba na lukaku.
morata mlimcheka alivokosa penati, vipi lukaku wenu tena?????
Morata alikosa penalty ambayo ingewafanya mbebe CS, lukaku kakosa penalty kwenye ligi na hakijaharibika kitu, 3pts na 2glsatachukua 'pogba na lukaku.
morata mlimcheka alivokosa penati, vipi lukaku wenu tena?????
Dah tukimkosa chamberlain itabidi wakomae na Drink water maana naona timu imebaki na muingereza mmoja tu.Dah naskia liver wanamchukua Chamberlain. .ina maana washatupiku?
Mbona kama tumezubaa sana msimu huu?
Tatizo ni uongozi au timu hazitaki kutuuzia wachezaj wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea 1 Liverpool 2
Sent From My Nokia Ya Tochi
Yani kila chelsea ikichukua ubingwa wa epl basi msimu unaofuata tunazembea kwenye usajili. Conte amesema anataka wachezaji wengine 4 ili aongeze nguvu kwenye kikosi. Msimu uliopita chelsea ilitumia wachezaji 13 tu kwenye msimu mzima, msimu huu tuna mashindano mengi hivyo itakua ngumu kwa wachezaji tulio nao.Dah naskia liver wanamchukua Chamberlain. .ina maana washatupiku?
Mbona kama tumezubaa sana msimu huu?
Tatizo ni uongozi au timu hazitaki kutuuzia wachezaj wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu huu tunachukua tenaYani kila chelsea ikichukua ubingwa wa epl basi msimu unaofuata tunazembea kwenye usajili. Conte amesema anataka wachezaji wengine 4 ili aongeze nguvu kwenye kikosi. Msimu uliopita chelsea ilitumia wachezaji 13 tu kwenye msimu mzima, msimu huu tuna mashindano mengi hivyo itakua ngumu kwa wachezaji tulio nao.
Nadhani umefika wakati sasa mmiliki atafute kocha anayeweza kutumia wachezaji vijana maana chelsea academy na scouting team inafanya kazi nzuri ya kuleta vijana ila timu kubwa hawapewi nafasi. Nawaangalia tammy abraham, loftus-cheek, ake na chalobah kwa umakini msimu huu kisha utagundua jinsi tulivyozembea.
Kwa siku chache zilizobaki nadhani wajitahidi kuongeza angalau mchezaji mmoja kila nafasi ili mambo yawe msawazo. Win,loose aor tie chelsea till i die. Blueblood.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa tisa na nusuChelsea wanacheza saa ngapi kwa majira ya Tanzania?
Why bakayoko amekaa benchiCHELSEA Vs EVERTON - EPL
![]()
Substitutes v Everton - Caballero, Christensen, Tomori, Bakayoko, Kenedy, Musonda, Batshuayi
Mkuu si unakumbuka Bakayoko hata mechi ya Spurs alifosiwa. Nadhani hayupo vizuri sana labdaWhy bakayoko amekaa benchi
Hao atletico sio wazuri kwa afya yetu, hatuna history nao nzuri
CHELSEA Vs EVERTON - EPL
![]()
Substitutes v Everton - Caballero, Christensen, Tomori, Bakayoko, Kenedy, Musonda, Batshuayi