Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

unawashwa eeh? Labda kama anaevuta bangi ni shangazi yako, we hata hujui chochote boya ww. Neymar kafata hela, matic kafata nini? kama sio kumkimbia Bakayoko.......... we huyo wenger unamuona anaakili? kamkataa fab yeye kabaki na hao aliobaki nao hawajamsaidia chochote, fab yes kwetu lulu katusaidia kubeba makombe mawili y EPL.

Huyo shoga ako ulivyoona nimemjb vibaya, ungemsaidia basi kumjibia ww.


mkuu tumia lugha nzuri, jamaa kaonesha ustaarabu sana na isitoshe sisi wengine tunapenda watu kama radka waje ndo wanaleta challenges hapa.
jamaa kakujibu kwa uvumilivu sana.
 
We kweli mata.ko tena yaliyolegea, bingwa w mwaka jana unasemaje sijazoea vikombe! We lazima mk.undu unakuwasha sio bure, omba msaada nikukune .......... ball possession mi inanuhusu nini, sisi mlimradi tumeshinda basiiiii! We kama roho inakuuma sisi kushinda bila ball possession kachambie topaz kundu linalokuwasha likukae sawa.


JIHESHIMU, unaharibu jukwaa tunaonekana wote sio wastaarabu kwa hayo matusi unayoandika.
be agentlemen, matusi yanakupunguzia ''reputation'' yako.
mimi ni blue mwenzio ila sijapendezwa na unavoandika kumjibu radika.
hatuishi hivo kiongozi.
 
Watu tuna mu hail alonso which is a good thing but Lets talk about chelsea back 3 especially new face Christensen
Kwa mtu anaeangalia mpira Epl nadhani anajua kwa sasa Kane ndo straika mkali kuliko wote Premier league, ukiangalia from different angles/Criterias hakuna anaemfikia Kane, sio lukaku, lacazette wala morata, for now
Christensen alim mark kwa ustadi mkubwa sana,,Movement za Kane ni hatari wether akiwa au asipokua na mpira, dogo alienda nae sawa mwanzo mwisho

Ukiachilia mbali kuclear kwa umakini mkubwa Christensen alikua na 100% pass completion kwenye game yake ya kwanza kuanza kwenye league dhidi ya totts ambao they always apply pressure na wanakaba sana kwenye final third na kwenye kiungo( generally kwenye nusu yetu). cahill tangu tumchukue 2012 game ambazo hakupoteza pasi zinahesabika

Azpi is usually perfect on back 3, Rudiger ndo yule, goli la Batsuayi haikuwa fault ya Mabeki wala kipa as we all saw, bila lile jana tungekua na Clean sheet
As Nando said na Mentor amewahi sema, Cahill ni liability kwenye defense yetu, now that anaweza kuwa replaced comfortably na Rudiger binafsi sioni nafasi yake tena
 
Kuna wanaoijua EPL zaidi ya Manchester United? Hivi Nonda yuko wapi?
Yuko kwenye mazungumzo ya "makanikia".
Unataka "Noah" ngapi? Za rangi nyeupe au nyeusi?

Ntuzu iko wapi? Ameji-ben saa8?

Man United iko vizuri msimu huu lakini sijaweza kuitabiria kuitwaa ndoo lakini iko moja Segerea kama itawafaa.
 
20882559_1725848917474016_4095254008712027764_n.jpg
 
We kweli mata.ko tena yaliyolegea, bingwa w mwaka jana unasemaje sijazoea vikombe! We lazima mk.undu unakuwasha sio bure, omba msaada nikukune .......... ball possession mi inanuhusu nini, sisi mlimradi tumeshinda basiiiii! We kama roho inakuuma sisi kushinda bila ball possession kachambie topaz kundu linalokuwasha likukae sawa.


Hata Leicester City Alikuwa Bingwa Kumbuka Hilo Dogo Ila Hajazoea Ubingwa Unaweza Ukawa Bingwa Lakin Shabik Limbukeni Unatukana Hovyo Inshu Ni Ndogo Tu Ushachanganyikiwa Ukiona Unairuhusu Simu Yako Kuandika Takataka Ujue Dish Limeyumba Unawazalilisha Watu Wa The Blues Unafikir Ukitukana Ntakuacha Subutu Sisi Wakubwa Huwa Tunawapenda Madogo Zetu Utazoea Tu
 
Hata Leicester City Alikuwa Bingwa Kumbuka Hilo Dogo Ila Hajazoea Ubingwa Unaweza Ukawa Bingwa Lakin Shabik Limbukeni Unatukana Hovyo Inshu Ni Ndogo Tu Ushachanganyikiwa Ukiona Unairuhusu Simu Yako Kuandika Takataka Ujue Dish Limeyumba Unawazalilisha Watu Wa The Blues Unafikir Ukitukana Ntakuacha Subutu Sisi Wakubwa Huwa Tunawapenda Madogo Zetu Utazoea Tu
Nikwel Leicester alikuwa bingwa je ubingwa huo aliupokea kutoka kwa nani maana kama sijasau msimu huo chelsea alikuwa ndiyo bingwa mtetezi ndiyo Leicester aliupokea then akamrudshia alie mkabizi kijiti cha ubingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kweli mata.ko tena yaliyolegea, bingwa w mwaka jana unasemaje sijazoea vikombe! We lazima mk.undu unakuwasha sio bure, omba msaada nikukune .......... ball possession mi inanuhusu nini, sisi mlimradi tumeshinda basiiiii! We kama roho inakuuma sisi kushinda bila ball possession kachambie topaz kundu linalokuwasha likukae sawa.
Mkuu matusi siyo sisi chelsea hatunaga hizo mambo. KTBFFH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikwel Leicester alikuwa bingwa je ubingwa huo aliupokea kutoka kwa nani maana kama sijasau msimu huo chelsea alikuwa ndiyo bingwa mtetezi ndiyo Leicester aliupokea then akamrudshia alie mkabizi kijiti cha ubingwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaa Ni Kweli Mkuu Nakubaliana Na Wewe Asilimia Mia Ila Mada Ilipotoka Ni Mbali Tuipotezee Tu Huwezi Kuilewa Vizuri.
 
Goli la lukaku ni kweli lilikuwa rahisi sana, lakini maandalizi yake yalikuwa worthy kujadiliwa kwa dk 30 hata saa nzima. So acha kufananisha lile goli na vigoli uchwara vya Chelsea.
Maandalizi gani.? Hivi ile ndizi ya Alonso unataka kuifananisha na goli la Likuku.? Kweli ndugu! Kweli.?
 
Mnafurahi kweli Shaffih kuwatetea eeh.. Nyie tukutane Nov 4. Mtaipatapata


Mkuu Niambie Kwanza Tunaanzia Wapi Kwenu Darajani Au Old Trafford? Naona Saiv Kuna Upinzani Unakuwa Mkubwa Wa Chelsea Na Manchester United Nafikir Hata Makocha Wamefanya Hiz Gem Kuwa Ngumu Man City Na Chelsea Bado Upinzani Ila Dirisha Lijalo La Usajir Hawa Makocha Wakiendelea Kuwepo Huenda Timu Za England Zikarudisha Soka Lao Ulaya.
 
Siku Nikimfunga Chelsea Darajani Ntaamini Chama Langu Limerud Kwa Sasa Bado Nasita Conte Ana Mbinu Za Ajabu Yule Wa Manchester City Sina Wasiwasi Nae Yeye Habadilik Ni Rahis Kumzuia Kipimo Cha Ubingwa Lazima nimfunge Chelsea.
 
Mkuu Niambie Kwanza Tunaanzia Wapi Kwenu Darajani Au Old Trafford? Naona Saiv Kuna Upinzani Unakuwa Mkubwa Wa Chelsea Na Manchester United Nafikir Hata Makocha Wamefanya Hiz Gem Kuwa Ngumu Man City Na Chelsea Bado Upinzani Ila Dirisha Lijalo La Usajir Hawa Makocha Wakiendelea Kuwepo Huenda Timu Za England Zikarudisha Soka Lao Ulaya.
Hata sikumbuki vizuri mechi itaanzia wapi.
Ni kweli upinzani unazidi kukua kadri siku zinavyoenda. Nafikiri ni kutokana uhasama ulioanza kuwekwa na Marefa wakionekana kuibeba sana Manchester hasa tulipokua tunakutana pamoja enzi za Fergie na Mourinho mwenyewe alie mtupa lawama kwa Marefa. Sasa upinzani unakua zaidi baada ya Mourinho kuhamia Manchester Utd anakutana na Conte mzee wa kushangilia kwa sifa.

I Love This Game To The Foolest. Mweeeeeh. Ninawasubiri Kwa Hamu
 
Choko kama wewe huwezi nipanikisha hat siku moja, sasa kama unajua neymar siri ni yake, kundu lilikua linakuwashia nini kusema kamkimbia messi, we kubali kataa matic kamkimbia bakayoko, we jadili mpira maswala ya utoto kaubeba mama yako katikati y mapaja yake.
KWELI UMU NIKIKUNDI CHA WEZI NAONA MA TUSI TU
NAMTAKOMA MWAKA UU

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom