Kama ndugu zetu Arse8 kuchukua UEFA labda wakaliibe.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app

Hili kombe ni la TOTENHAM HOTSPURS
Chelsea watatafutana uchawi.
vipi hizo ni fixture za toten zilizobaki ngumu nini?Naona spurs wazee kunyata wanatunyatia ila ashukuriwe mungu kwa arsenal ambaye anamuweza ,man u hanaga ujinga nae na lecister anayekwenda kulipa fadhila.
Sishabikii Totenham kwa mkopo, mimi ni shabiki namba moja wa hii timu hapa tanzania.Kka una roho ngumu, kama team yako Man U wamechesha kwa nini unakereka kwa Chelsea kuchukua kombe?
Hizo zitawatoa sharubu mkuuvipi hizo ni fixture za toten zilizobaki ngumu nini?
Kwnni unapandikiza maumivu ndani ya moyo wako ivo aisee.Hili kombe ni la TOTENHAM HOTSPURS
Chelsea watatafutana uchawi.
Mtatafutana uchawi!Kwnni unapandikiza maumivu ndani ya moyo wako ivo aisee.

Tottenham huyu huyu au mwingineeHili kombe ni la TOTENHAM HOTSPURS
Chelsea watatafutana uchawi.
Safi sana hii nmeipenda mnoView attachment 492529
Kocha wa Leicester City aliyeondolewa kibaruani hivi karibuni, Claudio Ranier, alitembelea uwanja wa Chelsea wa mazoezi leo na kupokelewa na Antonio Conte.