Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

17796159_1477431738974083_1260049277884963663_n.jpg
 
CITY XI | Caballero, Clichy, Stones, Kompany (c), Fernandinho, Delph, Sane, Silva, De Bruyne, Navas, Aguero

SUBS | Bravo, Zabaleta, Kolarov, Fernando, Toure, Sterling, Nolito

17796083_10158647719380455_7656520761277099822_n.jpg
 
Ila kama nimemuelewa kocha wa Man city vilee...yani hapo kumuweka Navas, Delph na Fernandinho maana yake yupo tayari kubadilika sawasawa na sisi tutakavyobadilika.

Fernandinho anaweza kuja kushika holding, Delph na Sane wacheze pembeni.

Delph akibaki kati maana yake Fernandinho anakuwa beki wa kulia na Navas anakuwa wing wa kulia.

Kwa vyovyote vile nadhani wameamua kumtumia Alonso leo kama njia yao ya kupitia.

I hope Conte ameliona hili mapema na ataongea na wachezaji.
 
Hongereni wana Chelsea Wenzangu so far so good, maana na totenham nae kesha lala kamoko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom