Matokeo ni 3-1 ,sorry Mzee wa majogooMkuu una upendeleo sana mbona kwenye kuripoti?
Kweli matokeo bado ni 1-0?
Mna mnywa tatu?
Basi sawa
Hahaha uyo mtu muache kama alivyo [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vipi zimetimia hizo Tatu?, Ngoja nikuulize kitu kaka, mbona unapenda kujitesa hivyo ndugu yangu? Kwa nini unajinyima raha kwa vitu vilivyo wazi kabisa? Wewe kila siku unasema leo ndio mwisho wenu, wiki ijayo ndio mwisho wenu, lakini mwishowake unabaki na maumivu na sononeko kuu la Moyo, soma alama za nyakati kaka, Chelsea ni Unstopable msimu huu,
Ngoja nitangulize pole yangu, hapo Jogoo atakapochinjwa na Leicester City
Upoo ...au bado unabisha.Mna mnywa tatu?
Basi sawa
Lakin tumeshinda maind the gap????hongera chelsea kwa ushindi ila mechi ilikuwa tough kweli
timu zinakamia sana kumaliza game mapema ni muhimu zaidiLakin tumeshinda maind the gap????
Ule udambwi udabwi sio mbaya, sema mi nataka awe anapiga kwa muda na mtu muafaka. Kuna saa anaweza piga mpira kumbe ampae hata hajui wala hategemei kama atapewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani kama hauna watu wanaofanya miujiza ya kisoka kuchukua epl ni kama ndoto!! Maana goli la pedro limekuja from no where!! Ila hazard kawa mpodoaji sana wa kazi maana siku hizi hataki kufanya vitu vya kawaida yeye hadi aone ni kizuri ndo anafanya ingawa kinakua kizuri kweli!! Hii mm naona inachelewesha mambo
Mfano goli alilowafunga man city alikuwa anaweza kufunga kawaida tuu, ila sasa akaamua kufunga kwa style fulani ili goli lipendeze, mm naona anazingua yeye awe anafunga kama kina ronado tuu, ya kawaida na mazuri humohumo maana hata clip zake magoli ya kawaida ni penalt tuu ila mengine yana urembo mpaka basi, kama kujua kua yeye ni fundi tunajua na yeye anajijua so aache kucomplicate
Kwisha habari yaoHuko majogoo wamekalishwa n.a. Leicester city![]()