Asante kaka kwa updates za maana,Bye bye for now!
Sio mbaya kudondosha 2 points
asante mkuu kwa updates ingawa timu yetu haijanifurahishaMuda bado kwa timu kutesa hapa
Gap la mtu wa pili limeongezeka kwa point moja, kulikiwa na tofauti ya point tisa sasa ziko kumi
zilikua saba mkuu sasa zimekua nane, akidroo au kufungwa man city ndio zinakua 10, chelsea leo wamezingua kinomanoma, back pass nyiiiiingiiiiii........... mpk wanakera.
diego kazingua sana mechi ilikuwa rahisi kama tungekuwa ma strike sharpSawa kaka, mimi nazungumzia mpaka sasa kati ya Chelsea na anayemfuata Totenham, ndio kuna hilo gap la point 10, Chelsea sio kama walizingua ila kulikuwa na shida nyingi tu, Hali ya hewa na kiwanja ilionekana kama inawashinda Chelsea, Pili jamaa huwa wanakamia sana mechi zao za home, ni wagumu sana kuachia point tatu hapo, timu ilikuwa nzuri na Sub zilikuwa nzuri
Kupata point moja ni afadhali kuliko kupoteza tatu
zitabaki 8 maana man city hajacheza kikubwa timu ijipange next match tushindeDroo ya jana.conte anahusika.sijajua anampendea nini matic.point 10.sio nyingi EPL.upepo utakuja kubadilika atakuja kushangaa.
zitabaki 8 maana man city hajacheza kikubwa timu ijipange next match tushindeDroo ya jana.conte anahusika.sijajua anampendea nini matic.point 10.sio nyingi EPL.upepo utakuja kubadilika atakuja kushangaa.
We muache tu.alete masikhara.amuulize pep.alichofanywa.alipokuwa anaongoza ligi.alipofungwa Mara moja tu.watoto wakaona njia.wakawa wanajichapia.zitabaki 8 maana man city hajacheza kikubwa timu ijipange next match tushinde
diego kazingua sana mechi ilikuwa rahisi kama tungekuwa ma strike sharp