Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Burnley wanarusha golini kwa Chelsea
Game kama hizi sio za Fabregas kukaa nje kabisa yani nashangaa Conte anamsifia kwenye media halafu anamuweka benchNaona D. Luiz anachechemea akitoka I hope Zouma yupo bench.
Na hawa madogo ni wa kuwawekea Fabregas tu.
Kweli kabisa tena ikiwezekana atoke Costa tu.Naona D. Luiz anachechemea akitoka I hope Zouma yupo bench.
Na hawa madogo ni wa kuwawekea Fabregas tu.
Mbona mi sijaona uchoyo wa Costa. Tena if anything wao ndo wanamnyima clinical passes. Kwa hili nitamtetea.Kweli kabisa tena ikiwezekana atoke Costa tu.
Ngoja nirekebishe kauli kidogo. Yaan kuna pasi za kupisha haraka sana yeye ana hold mno, hafanyi fasta fasta.Mbona mi sijaona uchoyo wa Costa. Tena if anything wao ndo wanamnyima clinical passes. Kwa hili nitamtetea.
Mtu anayejaribu kumpa pasi ni Alonso shida naye si mtaalamu. Subiri aje kuingia Fabregas utaelewa