Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

For the second half we need Fabregas and Willian in the game even though Pedro hajafanya kosa lolote. I know Hazard ana enjoy dribbling but he needs to get serious and scoring. We don't want a draw, we want a win!
 
Ila leo chelsea akishinda ligi itapoteza ladha, bora tu tutoe sare au tufungwe for the sake of league taste, msinishambulie blues wenzangu.
 
Matic is good ila kwa game hii hatuhitaji nguvu kubwa kati maana mipira yao bado wanapitisha kwa wingmen.

Ngolo anatosha hapo kati. Ongeza mtu wa kutoa pasi ndefu accurate, Azpilicueta and Luiz wamejaribu ila unaona amnavyo passes zao zimekuwa poor.
 
66f5fb9e897b0f70548a1037c462aff0.jpg


KHA! Chelsea
 
Ukiachana na Dembele, mtu hatari zaidi kumchunga ni Ericksen.


On to the second half..wakaanga sumu muda wenu wa kuuza chai huu baada ya game hamtapata wateja.
 
Mbona mmekimbia jukwaa njoni ndezi nyinyi, mchana nyote mlikua makocha apa, sasa imekuaje naona mnauchungulia uzi munarudi mbio, shenzyyyy
 
Naona leo kama Pedro hajawa kwenye form ila ngoja tuone dk 45 zijazo,bado naamini tutatoka na ushindi
 
For the second half we need Fabregas and Willian in the game even though Pedro hajafanya kosa lolote. I know Hazard ana enjoy dribbling but he needs to get serious and scoring. We don't want a draw, we want a win!
Yaan naona Willian anahitajika sana sana, kama nilivyosema awali nguvu hana za kupambana na mabeki wa Spurs. Faby akiingia kingo kitashikwa sana Dembele na Wanyama wanapiga kazi
 
Ila leo chelsea akishinda ligi itapoteza ladha, bora tu tutoe sare au tufungwe for the sake of league taste, msinishambulie blues wenzangu.
Acha kujikausha ndezi wwe sema leo huna uwezo wa kushinda hii gemu hata kama utaambiwa utakabidhiwa leo kombe
 
Ila leo chelsea akishinda ligi itapoteza ladha, bora tu tutoe sare au tufungwe for the sake of league taste, msinishambulie blues wenzangu.
Ha ha ha umeanza jihami league itapoteza ladha hutak kuvunja record ww?? Sema mnakaribia kushindwa na Pochettino
 
Mbona mmekimbia jukwaa njoni ndezi nyinyi, mchana nyote mlikua makocha apa, sasa imekuaje naona mnauchungulia uzi munarudi mbio, shenzyyyy
hatujakimbia,..tunaangalia game kwa macho 3...bakiza matusi kuna half nyingine inakuja...KTBFFH
 
Mbona mmekimbia jukwaa njoni ndezi nyinyi, mchana nyote mlikua makocha apa, sasa imekuaje naona mnauchungulia uzi munarudi mbio, shenzyyyy
Hivi wewe unayeongea ndo yule hata ukishinda uko namba sita??! What a joke?

Nnaweza kumkimbia shabiki wa Liver ila sio wewe boss na kocha wako the ego man!
 
Ukiachana na Dembele, mtu hatari zaidi kumchunga ni Ericksen.


On to the second half..wakaanga sumu muda wenu wa kuuza chai huu baada ya game hamtapata wateja.
Ericksen ni mtu hatari pia wana yule mchina wao
 
Matic is good ila kwa game hii hatuhitaji nguvu kubwa kati maana mipira yao bado wanapitisha kwa wingmen.

Ngolo anatosha hapo kati. Ongeza mtu wa kutoa pasi ndefu accurate, Azpilicueta and Luiz wamejaribu ila unaona amnavyo passes zao zimekuwa poor.
Mpigie Conte umwambie namba zake ni hizi +44 26 89 176 22
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom