Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hapa sio wachezaji wamemuelewa, Kocha hapa ni Kocha na wachezaji wameelewana. Michezo 5... Magoli 16.... Hajaruhusu goli hata moja katika nyavu zake.... Chelsea anaogopesha tangu ahamie 3:4:3.....
Everton walishindwa kumkaba hazard... wakashindwa kumkaba Costa.... Walishindwa kumkaba mtu yeyote lakini pia wakashindwa kuziba nafasi.... Lakini pia wakashindwa kumkaba hata golikipa wao..... Hapa Ronald Coleman na timu yake walikuwa wanaiwaza fiesta sana kuliko kumuwaza hazard na wakasahau Jana ni tarehe tano......
Everton wanauzi bhn ila Chelsea wanakera zaidi asee...
Everton walishindwa kumkaba hazard... wakashindwa kumkaba Costa.... Walishindwa kumkaba mtu yeyote lakini pia wakashindwa kuziba nafasi.... Lakini pia wakashindwa kumkaba hata golikipa wao..... Hapa Ronald Coleman na timu yake walikuwa wanaiwaza fiesta sana kuliko kumuwaza hazard na wakasahau Jana ni tarehe tano......
Everton wanauzi bhn ila Chelsea wanakera zaidi asee...
