ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,746
Hata mimi binafsi sijafurahishwa na walichofanya wachezaji
we nawe!' sasa wachezaji wamefanyaje?! kama kocha ndio alikua anawafundisha vilee, mbona mpira walikua wanacheza sanaa sema kufunga ndio ilikua ishuu, tatizo ni morinho mwenyewe wala hat si wachezaji ..............morinho anajulikana ni kocha wa short term.