Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Lol...niko safarini!
Last edited by a moderator:
Lol...niko safarini!
Mcharo wangu safari ya wapi hujaniaga Mrs Mcharo?......
Nilitoka mara moja...hata hivyo ndo naingia jijini just now. Nikifika home nitajumuika nanyi hapa!
Wanapaki bus mechi za majaribio
Tumepata matairi mapya ya Yokohama. Tunafanya majaribio ya kupaki bus kwa hayo matairi! Sasa nyie wenye magari ya Chevrolet kinawauma nini?
Mimi binafsi kimeniuma sana kwanini mabingwa wafungwe? Yaani naumia jamani kwanini aaah!!! If it's not blue,it will be......
Cute b huyo bwana amefurahije hongera sn maana msimu mzima ulinuna
Kubali basi na hii nayo ni mechi muhimu pia.....utaishia kutabiri hivyo hivyo si tunasonga mbele.....kuhusu mababu hilo tulifunga Mjadala Sababu nalo linakuhusu....
yah! ni muhimu kwa kuimarisha misuli, kwa kidhungu fitness ............ ni mazoezi tu!' nothing more, mana naona vibabu vyenu vinakaaaza utafikiri UEFA final.
yah! ni muhimu kwa kuimarisha misuli, kwa kidhungu fitness ............ ni mazoezi tu!' nothing more, mana naona vibabu vyenu vinakaaaza utafikiri UEFA final.[/QUODoooh
Doooh hahaha
🚶🚶🚶🚶🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏇🏇🏇🏇🏇🏇🏇🏇🐎🐎🐎🐎🐎🐎🐎🐎💨💨💨💨💨💨💨
Usijali mamy tunajaribu matairi
Tupo mamy. Ligi bado haijaanza rasmi
Mzima lkn ?
Mmeshaanza visingizio vyenu...
Mimi mzima namshukuru Mola, umeniombea dear?....