League haijaisha bado.
Kama unaamini imeisha basi Pre-season ndio imeanza.
Next season ni maumivu tu na yanaanza kwa pre-season.
League haijaisha bado.
Kama unaamini imeisha basi Pre-season ndio imeanza.
Next season ni maumivu tu na yanaanza kwa pre-season.
My verdict:
Loftus Cheek ni kama Mikel mdogo. Too many back passes. Ni muoga wa kukaa na mpira. Ni mzito kukaba. Yani kuwa na Loftus Cheek na Mikel in the same team si sawa kabisa. Kama tunataka Loftus abaki basi Mikel aondoke.
Nathan Ake fits more into the midfield role than Loftus. Anacheza kwa kujituma. Anajua ku-tackle vyema na kupandisha timu mbele. With Fabregas (and Oscar) out, huu ndo muda wake wa kuonesha makali yake huenda msimu ujao akapata games zaidi especially za FA na Capital One!
Izzy Brown...not yet there! Muda mwingi alicheza kama winger than Striker. Anyway, alikuwa na dakika chache sana za kumpima. Let's hope last game ataanza.
Tunahitaji kubwa la a qualified right winger. Upande ule umepwaya sana kwa kumtegemea Ivanovic peke yake ambapo inatugharimu kiulinzi. Willian/Cuadrado/... kwa mtazamo wangu bado hawajaweza kuvivaa viatu vya upande huo. Kama tunataka kushinda zaidi ya EPL na Capital cup basi tunahitaji kuangalia upande huo.
Kuna yule dogo anaitwa Grealish, yupo Aston Villa (Wacha1 na arsenal watatueleza vyema kumhusu watakapokutana 30 May - FA Cup Final). Yani yule angekuja Chelsea, Willian na Cuadrado wangekaa benchi milele.
Felipe Luis arudi Atletico Madrid. Maybe tungeweza kumpata Right Back mwingine kumuandaa kum-leave Ivanovic ingekuwa a better option.
Matic! -huhitaji kusema mengi kumuelezea - #solid
Rumors have it kwamba Mou anamtaka Berahino. Nadhani akikubali kuja, Remmy aondoke abaki na Costa wagombee namba. At times anaweza akawachezesha wote for more eefect.
MWISHO: Possession haishindi mechi! Maana jana second half ilikuwa WBA 25% - 75% CHE lakini matokeo ni 3 - 0!
Walijua kabisa ile red card haikuwa sahihi sema ndo washaitoa
League haijaisha bado.
Kama unaamini imeisha basi Pre-season ndio imeanza.
Next season ni maumivu tu na yanaanza kwa pre-season.
Sir Alex inajulikana wazi alikuwa anatembeza bahasha. Sasa ni Chelseachovich ndio anafanya huo umafia.
BelindaJacob kam zis wei..Ntuzu, hivi Brenda Jackob yuko wapi siku hizi???
Mpenzi wangu usilale bana mm niko macho kwaajili yako... Hii ni pre season angalia bila presha yoyote, kibaruani si tunaenda wote kani aenda menyeweeee!!!!
Ntuzu, hivi Brenda Jackob yuko wapi siku hizi???
Asante Mentor kwa kunishtua. Nimekimbiaje sasa?!!BelindaJacob kam zis wei..
Nimefurahi uwepo wako...
karibu sana Belinda.
Asante sana. Ni safi kujumuika nanyi.!
Hakuna hoja hapo ni matokeo tu baada ya Febregas kufanya ile kitu wachezaji wa Chelsea wanaelewa vyema, uhuni wa uwanjani..kwa hiyo hoja yako nini?
mpira au bahasha?