Mourinho believes Oscar will take a Hazard-esque leap next season
Eden Hazard took a huge leap from last season to this one, and that development into one of the top players on the planet helped Chelsea run away with the 2014/15 Premier League title. Jose Mourinho thinks another Chelsea player could be in line for that same sort of improvement next season, and had the following to say about Oscar after today's match against Liverpool
Mourinho: "I have a feeling that Oscar next year can have the same evolution that Hazard had this."
Hii ni khabri njema sana kwetu Chelsea. Inaonesha Maurinho anataka Oscar afanye zaidi ya kile alichofanya msimu huu. kwa ufupi abebe majukumu zaidi ya Hazard kwa season ijayo. na kama itakuwa hivyo, huku Willian akizidi kupanda kiwango kila siku na bula shaka Hazard atataka kubakisha hadhi yake kama PFA top player, huku vijana wakiingia taratibu kwenye timu kubwa, basi tutarajie vumbi la ajabu kwa washiriki 19 waliosalia!!!