nurdi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 256
- 71
Hongereni watani you deserve it, but pia mjitahidi sasa mchukue na CL
Manake ni aibu semi final Ya UCL haina hata timu moja Ya EPL
We are the only and only London team know the taste of winning it
Hongereni watani you deserve it, but pia mjitahidi sasa mchukue na CL
Manake ni aibu semi final Ya UCL haina hata timu moja Ya EPL
Nilifikiri mlifanya suluhu!Yule mwehu wa Emirate kama namuona alivyokuwa mpole, hawezi kukanyaga jukwaa hili mpaka msimu ujao..
We are the Blues
We are the Best
KTBFFH
Tell me guys. Kuna nini behind Mourinho kutopewa Coach of the Month award?
April tumeshinda mechi zote na ku draw moja I guess. Tumemfunga Leicester City in a thrilling four goals game. But in the end yule tuliyemfunga ndo anapewa Coach of the month award.
Mourinho acts like he is not hurt..like he doesnt care but I know deep down he does. Maana alivyoongea leo its most likely hurting him.
Amesema, "...I would like to know the people in the panel because oneday I will meet one and want to hug them."
Wakati anatamka hiyo 'hug them' mikono yake anaonyesha mfano wa kunyonga..strangle!
Nonda una vituko! Post zako nyingi ni vichekesho. Unastahili tuzo.Nilifikiri mlifanya suluhu!
Tell me guys. Kuna nini behind Mourinho kutopewa Coach of the Month award?
April tumeshinda mechi zote na ku draw moja I guess. Tumemfunga Leicester City in a thrilling four goals game. But in the end yule tuliyemfunga ndo anapewa Coach of the month award
.......
Hongereni watani you deserve it, but pia mjitahidi sasa mchukue na CL
Manake ni aibu semi final Ya UCL haina hata timu moja Ya EPL
Mashabiki wa Chelsea ni heartless sana,watamcheka hata Gutierez wa Newcastle siku akienda Darajani
Viwango vya Mourinho ni vikubwa sana. Keshaweka bar at high level kiasi kwamba hata hiyo panel inayochagua ''Coach of the Month'' haiwezi tena kumshindanisha na watu kama Robert Martinez, Pardew au Pearson. Kwa kifupi, mafanikio ya Mourinho is guaranteed au expected, na hivyo panel hata haishtuki. Bahati nzuri Mourinho mwenyewe anaona poa tu.
Wakuu kesho Liverpool yuko darajani lazima apigwe ndio kombe linoge kuchukua wapi wadau Wa Chelsea ktk kuchambua huu mtanange? Ntuzu Manumbu Mentor agosti 8 kalou b5-click kunguru mjanja Grand PA Viol the say mbingunikwetu Na wadau wote. Leteni nondo wakuu. Maana uchambuzi wenu kwa mchezo Wa Man Utd Na Arsenal ulikua babkubwa Na Mourinho akapanga kikosi kama mlivyochambua.
Leteni hoja wakuu.
Mkuu kwa kikosi nilichosikia kutoka kwa mwenyekiti mou, naona kama tutakuwa balance na Liverpool. Mwenyekiti kasema atakuwa na ake,Zuma,luiz,czec,terry,Remy,iva sijajua kama mati,eden,faby,azp,didie ambao ni level za juu kwa liva kama watakuwepo lkn liva ni kuvuruga mipango ya cotino yaan ni kumdisturb asiweze kupiga pass zake then sijajua kikosi cha BR ngoja nikakipitie afu ntarud.
All in all Special ananiacha na mshangao unawezaje kukaribia kucheza na liva afu unawapa wachezaji wako mapumziko au liva kwa muo ni timu ya kawaida sana.
yani i cant wait kuliona hilo gwaride hata Malafyale anajua hilo! macho yangu yatakuwa kwa Steve Gerald na Brendan Rodgers. SG kwa gere kuwa hajawahi kushinda EPL na alikataa kuja Chelsea ambako for sure angeshinda makombe kibao including EPL! Kwa BR kwa vile hajawahi kumfunga mwalimu wake (kitu ambacho ni aibu. Mwnafunzi aliyefunzika vizuri akafaulu kwa uhakika, ni lazima amfunge/amshinde mwalimu wake) BR alishindwa kumfunga Maurinho mwaka jana kitu ambacho kiliikosesha ubingwa Liverpool. ningependa kutazama demeanour, hasira namaumivu ya hawa jamaa as they piga rikwata la kukiri kuwa Chelsea na Maurinho wake ni mabingwa!!!! Dear God, pls bring Sunday tomorrow!!!