Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaan kila chelsewakishika mpira arsenal wanatushika ...wanajua madhara yake ndo maana wanawashika wachezaji wa chelsea
 
Keep Dreaming...ombeni Mou aondoke labda!!!

Kwani msimu wa 2006/07 na 2007/08 hakuwepo?
Mou siyo mgeni epl, alikuwepo misimu minne àkabeba ndoo ya epl misimu miwili ya mwanzo then akapotea.
Hivyo next time usitegemee ligi kuwa hivi. Lazima kutakuwepo na mabadiliko makubwa kwa vilabu kujipanga zaidi na kuleta ushindani zaidi.
 
_82582498_terry.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom