Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arsenal amecheza vizuri kipindi cha kwanza.sijuwi kama mourinho atafanya mabadiliko second half.hali si shwari angalau kupiga hat trick moja au mbili hivi ili kushinda hii game.kila la heri blues.
 
Arsenal amecheza vizuri kipindi cha kwanza.sijuwi kama mourinho atafanya mabadiliko second half.hali si shwari angalau kupiga hat trick moja au mbili hivi ili kushinda hii game.kila la heri blues.


Mbona unaweweseka?

Angalia nafasi alizokosa Oscar Na Ramires alafu niambie asenane wamekosa ngapi?
 
diego angekwepo hapa, wangeshaondoka hawa by now. anyway ngoja tuone mtanange
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom