Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lol Nonda bado upo! Karibu bana...vipi unaongeleaje game letu na Arsenal. Unahisi tutaweza kuwanunua marefa tena?

Au na marefa ni 'wanazi' wa chelsea? Cc; Nzi

Nafatilia kwa karibu jinsi waamuzi wanavyouharibu mpira. Huwezi walaumu sana, njaa sio mchezo. Na Chelseamovic anagawa bahasha zilizotuna.

Ukiangalia rekodi za karibuni, sioni vipi Arsenal atawaweza wanamieleka wa Chelsea. Baada ya mechi na Man United Mourinho domokaya alinukuliwa akiseama plan ya Chelsea haikuwa kucheza mpira wa kushamblia, lakini ku-pack basi na kusubiri mwamuzi avae miwani ili wafanye umafia.

Wenger anataka kuheshimu mpira na kufuata sheria na haonekani kuwa ni mkali/mkemeaji kama Sir Alex, pia hana domokaya kama Mou. Sasa soft, flowing football hailingani na Rugby na mieleka na ukichanganya na umahiri wa uzamiaji(diving) na mtindo wa waamuzi kuvaa miwani kama vile imetokea solar eclipse. BAK na Mbu zake zitaishia wodini tu kwa malaria.

Sipati picha vipi Terry na Ivanovic watakavyomsulubu Ozil. Katika timu nzima ya Arsenal ni Cloroquin (Coquelin) na Flamini ndio kwa mbali wanacheza mafia style ya Chelsea.Arsenal wanaogopa physical contact wakati kwa Chelsea ndio kama mchaga na mbege.

Nafikiri ili mwamuzi kurahisishe kazi ya kuibeba Chelsea atampa Red mchezaji mmoja wa Arsenal.

Nikipata muda nitarudi na uchambuzi wa kina.
 
Karibu darajani tarehe 9 ushuhudie Chelsea akikabidhiwa kombe mbele ya LFC....Sasa umekua mdogo km piritoni baada ya kuona ndoo inatua darajani kivyovyote.....
Hili neno umelitumia kwa bahati mbaya? Au ndio waamuzi wamejishindia bahati nasibu?
 
Karibu darajani tarehe 9 ushuhudie Chelsea akikabidhiwa kombe mbele ya LFC....Sasa umekua mdogo km piritoni baada ya kuona ndoo inatua darajani kivyovyote.....
Daraja linaweza kubomoka tarehe 8 na hiyo tarehe 9 ikawa ni kutangaza msiba redioni.
Piritoni unazitumia? Unapokuwa unaumwa na nini?
 
Daraja linaweza kubomoka tarehe 8 na hiyo tarehe 9 ikawa ni kutangaza msiba redioni.
Piritoni unazitumia? Unapokuwa unaumwa na nini?



Nifungwe huo mchezo lkn ndoo lazima nibebe...utake usitake.
 
Refa ndo alimwambia De Gea apanue miguu na kupigwa tobo?

Una uchungu sana eeh?

refa ndo aliyefanya CHELSEA FC wampange Zouma kumdhibiti FELLAINI?

aisee...

matatizo yako ni makubwa sana..jipange upya.
Nonda;
 
Last edited by a moderator:
Hivi huu umafia aliufanya mpaka ulaya alivyoshinda lile Kombe kubwa au unaishiaga huku huku U.K?

Hili swali liende pia kwenu nyote mnaosema United uhonga marefa? Yaani ilihonga wa UEFA mpaka wa FIFA Club World Cup?!?

Hivi mnafahamu kila mara kunakuwaga na mtu mwenye link na klabu katika uongozi wa FA?! Juzijuzi hapa alikuwepo David Gill, kipindi ambacho City wamechukua makombe mara mbili. Kabla ya hapo nyuma kidogo alikuwepo tajiri wa zamani wa Arsenal, ambapo United walichukua makombe mara kibao.

Sasa sijui nani ni bosi kati ya FA na chama cha marefa, mpaka ati hizo stories za vijiwe vya kahawa mzihamishie humu?!?

Jipangeni katika hili.
 
Nifungwe huo mchezo lkn ndoo lazima nibebe...utake usitake.
Nimeshawawekea order ya ndoo 3 Segerea ili ziwe nne, mkichanganya na lile la mbuzi.

Ngoja msimu uishe ili nikuite hapa unioneshe hiyo ndoo uliyobeba. Unakumbuka sababu tuliyoambiwa ilimuondoa Kolimba? Kapime kabisa moyo wako.
 
kwa hiyo sisi lazima tuamini habari zako wewe Anti-Chelsea?

unacheza makida makida ha ha ha haha....
Hee kwani Chelsea imekuwa anti? Kama Anti Ezekiel?

Ukweli mchungu, jitahidi uumeze tu.
 
Nimeshawawekea order ya ndoo 3 Segerea ili ziwe nne, mkichanganya na lile la mbuzi.

Ngoja msimu uishe ili nikuite hapa unioneshe hiyo ndoo uliyobeba. Unakumbuka sababu tuliyoambiwa ilimuondoa Kolimba? Kapime kabisa moyo wako.


Sina hayo magonjwa ya Kolimba...mi Niko fiti km chuma.

Hizo ndoo za segerea utabeba wewe na timu yako mi nabeba kombe la Mbuzi na EPL.... Kz kwako na uchambuzi wako.....
 
wildfish umeiweka vizuri sana hali aliyonayo huyu mwenzetu. binafsi niliona mgonjwa mkubwa wa neva za ufahamu. kama hii ndo inayoitwa haters sasa nimeamini kumbe wapo kweli haters. mtu anapayuka tu


Wildfish enyewe imerudi ilikotokea. sijui bahari, mtoni au kwenye bwawa!!? Ukitaka kuona wapayukaji enenda katika majumba ya Paulo, kuna zile mtu zinasema zinazungumza katika ndimi, ndio utaelewa maana ya kupayuka.
Tunaongelea kandanda na umafiaso wa Chelseamovic, wewe unaleta mhemko wa haters,haters, unapayuka bila sababu ya msingi.
Tulia Mr. Mak..nde (Ma..umbu) ndoo zenu za Segerea zipo zinamsubirini.
 
Sina hayo magonjwa ya Kolimba...mi Niko fiti km chuma.

Hizo ndoo za segerea utabeba wewe na timu yako mi nabeba kombe la Mbuzi na EPL.... Kz kwako na uchambuzi wako.....
Ni ushauri tu, kapime . Hatutaki kusikia ka-aorta kalikuwa dhaifu.

Uliona Porto walitaka kuiga style ya mafiasovich kupack basi? Ilikuwa ni ile Porto iliyoshinda 3-1 kweli?
 
Who is better – Sanchez or Hazard? Vicky Christianson, Herts



Hazard is slightly better. Right now he is on another level.


If you give Sanchez time he might get there. It didn’t quite work for him at Barcelona, though when you see the way Messi, Neymar and Luis Suarez are playing, I think Sanchez could easily play in one of those roles.


But I always felt he would be a wonderful signing for Arsenal and he hasn’t disappointed.


It’s difficult to draw comparisons but I think Hazard edges it. He’s in a more successful team and people might think I’m wrong, but the fact he is in a team about to win the Premier League gives him the advantage.


But it’s not just that. In technical terms there is a bit more control in Hazard’s game. He is the boss. If he wants to take a player one way and go the other, that’s exactly what he does.


With Sanchez he plays at such a speed that sometimes things don’t come off for him or he runs into traffic. Hazard is so in control of his movement and always makes excellent decisions. But both are breath-taking players to watch.


- Martin Keown

1429789975893_lc_galleryImage_Chelsea_FC_via_Press_Asso.JPG

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom