Half time..Chelsea 1-1 Arsenal
nilidhani haters wa chelsea humu wapo watatu Wacha 1,prondo na jamaa mmoja wa liverpool,kumbe wapo wengi sana,chelsea wakifungwa wanajifanya wanajua kuupdate,wakishinda ni kama hawaoni thread
Full time 1-1
1 point won or 2 two points lost tunafunga mwaka on the Top of the Table.
The Rest Mbuluraaaaaz MIND THE GAD
KTBFFH
Kubali matokeo na ndiyo soka kijana wangu!Angalia mechi ijayo na Totenham ugenini ambayo pia ni mechi ngumu kwako
we vipi bhana kama ishu ni draw man city nao leo wanatoa,tupo mbele bado point 3
dk 88 2-2