Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongereni kwa kuanza kufikia malengo yenu. nakumbuka malengo yenu ni kurudi kwenye champions league. hamna malengo ya kuchukua ubingwa mwaka huu. so far mambo yenu yanaenda kama mnavyotaka...kama ilivyo kwetu. tangu mwaka jana Maurinho anasema ubingwa kwake ni mwaka huu. so far so good, despite kufungwa juzi but we are still on truck


pamoja na kusogea nafasi ya tatu bado sioni kama tunaweza kuwasumbua chelsea kwenye mbio za ubingwa ingawa Newcastle blew the title race wide open!!!!!!!!
 
ni kweli kikosi bado kiko imara. ila hivi vimakosa vidogo vidogo hatutakiwi kuvirudia. ni vimakosa hivi hivi ndivyo vimeifanya Man City leo wako na. 2. sasa wakati wao wanatulizana, sisi hatutakiwi kuanza kuyafanya haya makosa.


Nilirudia kuutiza mpira Wa Chelsea na Newcastle magoli yuliyofungwa na makosa madogo sn na si kuchoka kwa Wachezaji!

Kikosi bado kiko imara Zaidi na Zaidi!
 
kweli chelsea nimeamini imetikisa ulimwengu mzima maana dunia yote inaizungumzia chelsea tu hakuna cha barcelona wala madrid..ni Chelsea kila kona

i proud to be chooses funs
 
kweli chelsea nimeamini imetikisa ulimwengu mzima maana dunia yote inaizungumzia chelsea tu hakuna cha barcelona wala madrid..ni Chelsea kila kona

i proud to be chooses funs



Kocha Wa Newcastle baada ya ule Ushindi alifurahi sn na kusema timu Yake imeifunga timu bora kabisa duniani!

Si mchezo mkuu Chelsea ni nouma!
 
ni kweli kikosi bado kiko imara. ila hivi vimakosa vidogo vidogo hatutakiwi kuvirudia. ni vimakosa hivi hivi ndivyo vimeifanya Man City leo wako na. 2. sasa wakati wao wanatulizana, sisi hatutakiwi kuanza kuyafanya haya makosa.



Kweli mkuu!

Nafikiri yote Hayo yatafanyiwa kz na kocha!
 
Kweli mkuu!

Nafikiri yote Hayo yatafanyiwa kz na kocha!
Mbinu ya Mourinho ni kupaki basi tu.
Michezo mingi anayoshinda Chelsea ukiangalia statistics utaona wana ball poss. 29%, 35% na wanashinda mechi hizo. Ni kuvizia counter-attack na kupack basi lao. Mchezaji wa timu pinzani anazungukwa na wachezaji wasiopungua watatu, tena utafikiri wanaenda kumpiga tofali kibaka.

Lakini siku hizi Jose kapunguza kidogo domo. Hata hivyo anaendeleza dharau na maneno ya kutupa hapa na pale kuudhi timu atakazokabiliana nazo.

Kocha wa City, Man. United, na Wenger Who?, kocha wa Aston villa na Hull ni "class". Heshima mbele, masifa no!

Na dalili zinaonesha hakuna kikombe kwa Chelsea msimu huu.
 
Mbinu ya Mourinho ni kupaki basi tu.
Michezo mingi anayoshinda Chelsea ukiangalia statistics utaona wana ball poss. 29%, 35% na wanashinda mechi hizo. Ni kuvizia counter-attack na kupack basi lao. Mchezaji wa timu pinzani anazungukwa na wachezaji wasiopungua watatu, tena utafikiri wanaenda kumpiga tofali kibaka.

Lakini siku hizi Jose kapunguza kidogo domo. Hata hivyo anaendeleza dharau na maneno ya kutupa hapa na pale kuudhi timu atakazokabiliana nazo.

Kocha wa City, Man. United, na Wenger Who?, kocha wa Aston villa na Hull ni "class". Heshima mbele, masifa no!

Na dalili zinaonesha hakuna kikombe kwa Chelsea msimu huu.

Hujui mpira wewe ndo maana timu zina mabeki,viungo washambuliaji so unataka mou asajili washambuliaji tu, timu inashambulia inapokuwa na mpira na inashambulia inapopoteza mpira sema hiv nikuelewe unachukia sana unapoona chelsea wanazuia vizur na kushambulia vizr hao makocha wasioongea hawaziamin timu zao baada ya game utawasikia we were good at defending our goal, in midfield etc kwa nn waseme after game? Mou husema kabla na anafanya yake
 
kweli chelsea nimeamini imetikisa ulimwengu mzima maana dunia yote inaizungumzia chelsea tu hakuna cha barcelona wala madrid..ni Chelsea kila kona

i proud to be chooses funs

Baba hii timu inawakera watu hata record za cr7 sio habari ya mjini
 
We kweli poyoyo Hujui kitu!


Mbinu ya Mourinho ni kupaki basi tu.
Michezo mingi anayoshinda Chelsea ukiangalia statistics utaona wana ball poss. 29%, 35% na wanashinda mechi hizo. Ni kuvizia counter-attack na kupack basi lao. Mchezaji wa timu pinzani anazungukwa na wachezaji wasiopungua watatu, tena utafikiri wanaenda kumpiga tofali kibaka.

Lakini siku hizi Jose kapunguza kidogo domo. Hata hivyo anaendeleza dharau na maneno ya kutupa hapa na pale kuudhi timu atakazokabiliana nazo.

Kocha wa City, Man. United, na Wenger Who?, kocha wa Aston villa na Hull ni "class". Heshima mbele, masifa no!

Na dalili zinaonesha hakuna kikombe kwa Chelsea msimu huu.
 
Kama ana ubavu achezeshe makinda kama Gunners atolewe nishai. Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ikifika May Morinyo hana kibarua .... ... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chijui mtamrudisha Di Mateo? Manaake mmezoea kula matapishi yenu.
 
Ikifika May morinyo hana kibarua .... ... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chijui mtamrudisha Di Mateo? Manaake mmezoea kula matapishi yenu.

mjitahidi na msimu huu mnyakue ubingwa wenu wa mshindi wa nne,
 
Kama ana ubavu achezeshe makinda kama Gunners atolewe nishai. Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

mmetumia 100+millns for the last three years,tatizo mnasajili vimeo vinaishia kukaa benchi
 
mjitahidi na msimu huu mnyakue ubingwa wenu wa mshindi wa nne,

Wacha fujo wewe nyie mwaka huu kombe lenu mliloshinda ni lipi? khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

mmetumia 100+millns for the last three years,tatizo mnasajili vimeo vinaishia kukaa benchi

Hizo pesa zetu hatukuomba kwa tajiri kama nyinyi ... ... .

Wacha kelele wewe, jengeni nyumba kwanza ondokaneni na hiyo cowshed au tajiri kagoma khe khe khe khe khe khe he kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee uwanja utafikiri handaki la ng'ombe. Bado mko omba omba kama yatima khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwanza wewe Kalou mshabiki bandia hata hutujuzi nini kinaendelea uwanjani shabiki koko wewe ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha aje Invisible ooops Mungiki Brother kutoka Kibera ana afadhali ataweka matokeo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha fujo wewe nyie mwaka huu kombe lenu mliloshinda ni lipi? khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Hizo pesa zetu hatukuomba kwa tajiri kama nyinyi ... ... .

Wacha kelele wewe, jengeni nyumba kwanza ondokaneni na hiyo cowshed au tajiri kagoma khe khe khe khe khe khe he kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee uwanja utafikiri handaki la ng'ombe. Bado mko omba omba kama yatima khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

huelewi unachokiongea,
 
Kwanza wewe Kalou mshabiki bandia hata hutujuzi nini kinaendelea uwanjani shabiki koko wewe ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha aje Invisible ooops Mungiki Brother kutoka Kibera ana afadhali ataweka matokeo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

3-1 dk 64 , otea timu gani inaongoza
 
Wacha fujo wewe nyie mwaka huu kombe lenu mliloshinda ni lipi? khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Hizo pesa zetu hatukuomba kwa tajiri kama nyinyi ... ... .

Wacha kelele wewe, jengeni nyumba kwanza ondokaneni na hiyo cowshed au tajiri kagoma khe khe khe khe khe khe he kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee uwanja utafikiri handaki la ng'ombe. Bado mko omba omba kama yatima khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Hayo ndio mliobakisha kujivunia! Ooooh tumejenga uwanja, Mara timu Ina hela Mara tunashiriki UEFA! Makombe hakuna! Kashinda babu jana mnamuona kocha bora! Akipigwa afukuzwe! Khe Khe Khe Khe Khe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom