Mzhokomi
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 232
- 167
Ft che 3-0 tot
cleensheet 4 mfululizo daaaaa ni hatariiiiiiii
Ft che 3-0 tot
Leo ushindi tu ,chelsea oyeee... CHELSEA 3 : SPURS 0
majeruh ya cahil naomba yasiwe ya muda mrefu, nimeona zouma hajaweza kuvivaa viatu vya cahil kwa usahii
majeruh ya cahil naomba yasiwe ya muda mrefu, nimeona zouma hajaweza kuvivaa viatu vya cahil kwa usahii
Mkuu kuna mechi moja ilikuwa ya capital one walivurunda Mourinho akasema najua timu ya kupanga next game anyway wote wanafanya vizuri kwa kila gamewanayopangwa ,if I was manager nitampanga the most fit striker on that specific game,MATIC hatacheza game yaNewcastle sababu kadi tano mfululizo za njano...Mou kasema hamna shidaa itakuwa kama leo Diego alibyokosaMkuu Manumbu agosti 8 Skillionare na wadau wote km wewe ndio kocha Wa Chelsea utampanga nani na umuache nani Kati ya Drogba, Remy na Costa? Maana km wote kutupia na kufanya Assist wanafanya... Inakuaje Hapa wadau maana hawa strikers wote wanamshawishi kocha awapange kwa jinsi wanavyotupia magoli kiasi kwamba km kocha akimuweka Fulani bechi haina maana km hatupii Bali kapenda tu Fulani aanze kutokana na mpangilio! Sijui nyie wadau mnalionaje hili kwa strikers wa chelsea kwa sasa?
majeruh ya cahil naomba yasiwe ya muda mrefu, nimeona zouma hajaweza kuvivaa viatu vya cahil kwa usahii
Leo ushindi tu ,chelsea oyeee... CHELSEA 3 : SPURS 0
Mkuu kuna mechi moja ilikuwa ya capital one walivurunda Mourinho akasema najua timu ya kupanga next game anyway wote wanafanya vizuri kwa kila gamewanayopangwa ,if I was manager nitampanga the most fit striker on that specific game,MATIC hatacheza game yaNewcastle sababu kadi tano mfululizo za njano...Mou kasema hamna shidaa itakuwa kama leo Diego alibyokosa
Ni kweli mkuu lazima upange mtu anaefiti ktk Hiyo game!
Obi ataanza Siku ya Newcastle! Bado tutakua na uhai mkubwa sn! Obi ameingia Leo km kunyoosha viungo kwa majukumu yanayokuja tarehe 6.
Ninapendezwa sn mkuu kwa viwango vya Drogba, Remy na Costa!
Mkuu Manumbu agosti 8 Skillionare na wadau wote km wewe ndio kocha Wa Chelsea utampanga nani na umuache nani Kati ya Drogba, Remy na Costa? Maana km wote kutupia na kufanya Assist wanafanya... Inakuaje Hapa wadau maana hawa strikers wote wanamshawishi kocha awapange kwa jinsi wanavyotupia magoli kiasi kwamba km kocha akimuweka Fulani bechi haina maana km hatupii Bali kapenda tu Fulani aanze kutokana na mpangilio! Sijui nyie wadau mnalionaje hili kwa strikers wa chelsea kwa sasa?
nimelipenda sana goli la remy...ameonesha ukakamavu ..utulivu...na ukomavu wa kutosha mbele ya yule beki ...big up remy.....hazard anaonyesha kuzidi kukomaa na kufanya maamuzi sahihi mbele ya eneo la wapinzani....willian hakutumia ipasavyo nafasi alizopata....kikubwa point tatu....chelsea haishikiki
Mkuu Manumbu ata Mimi natamani sn kuona 4-4-2 ktk ubora wake huku maana huko mbele ktk hao strikers shughuli Yake sijui itakuaje!
Alafu mkuu umenikumbusha mbali sn uliposema kwamba Ramires awe beki mbili. Huo mfumo mkuu ni Wa mauaji mkuu! Umenikumbusha jamaa yangu mmoja anaitwa Lassan Diara alikua anapewa Hayo majukumu pale winger Wa timu pinzani kuonekana msumbufu sn! Kuna mchezo mmoja na Fc Porto kulikua na jamaa mmoja msumbufu sn Qwaresima. Huyu jamaa alikua anapiga chenga ni hatari mkuu! Lkn Lassa alimdhibiti vibaya sn!