Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu haya mapinduzi ayafanyayo Mourinho darajani watu watakuja kuyakubali tutakapoingia nusu fainali UEFA na fainali yenyewe. utapigwa mpira mkubwa mpaka watu watatujua kwa sasa tunacheza mpira utokao nje ya sayari hii. kwa sasa wanaona tupo tupo tu tunashinda na kwenda. wanatukubali kidogo kidogo. Ila wakati muafaka ukifika na wakati huo cohesion ya timu ishakuwa kubwa sana watu wanapeana mapande bila hata ya kuinua uso ndipo watatukubali. na kizuri ni kuwa vijana wenyewe watakuwa wanayafanay haya mambo huku wakifurahia kuucheza mpira. magoli yatakuwa kama vile yanaumbwa kumbe watu wanayatengeneza na kuyafunga. Yani kikubwa hapa ni kuomba uhai tu, tushuhudie tunavyokwenda mbali!

Chelsea ndio Sisi!!!

Umenifurahisha sana mkuu kwa maneno yako mazuri
 
Mkuu Manumbu maneno mazuri sn hayo ya Fabregas na maneno hayo yanawakata midomo wooote wale waliokua wakimponda Jose Mourinho kwamba hua anapenda kuuwa wachezaji ktk uchezaji wao kwa kufata vile anavyotaka mwenyewe....!

Haya maneno ya Faby hayo....

Cc: RRONDO Malafyale

Fab was playing very good football at arsenal.....then kwenda barcelona akawa undermined, sasa amekuja chelsea yeye ndio kingpin,playmaker,he runs the show...kwanini asi enjoy football yake??! anacheza vizuri sasa hivi kuliko hata alivyokuwa arsenal kwa sababu sasa hivi ni more mature.

mchezaji pekee alieniuma kuja chelsea ni FABRIGAS tu...i said this million times before!
 
Fab was playing very good football at arsenal.....then kwenda barcelona akawa undermined, sasa amekuja chelsea yeye ndio kingpin,playmaker,he runs the show...kwanini asi enjoy football yake??! anacheza vizuri sasa hivi kuliko hata alivyokuwa arsenal kwa sababu sasa hivi ni more mature.

mchezaji pekee alieniuma kuja chelsea ni FABRIGAS tu...i said this million times before!


Lkn wapo waliomponda Faby kwa kuja Chelsea kwamba atatumika sn ktk majukumu ya kukaba sn na si kushambulia Km mfumo wa Jose ulivyo.... Hili wewe unalionaje na hasa ukiangalia na kauli za Faby mwenyewe?
 
Lkn wapo waliomponda Faby kwa kuja Chelsea kwamba atatumika sn ktk majukumu ya kukaba sn na si kushambulia Km mfumo wa Jose ulivyo.... Hili wewe unalionaje na hasa ukiangalia na kauli za Faby mwenyewe?

mimi siangalii Fab anachokisema,he is a pro anajua kuongea....mimi naangalia anavyocheza,sijamuona akikaba khiivyo,namshangaa Wenger kwa kumuacha huyu Fab aende chelsea ni matatizo tu
 
mimi siangalii Fab anachokisema,he is a pro anajua kuongea....mimi naangalia anavyocheza,sijamuona akikaba khiivyo,namshangaa Wenger kwa kumuacha huyu Fab aende chelsea ni matatizo tu


Nimekuelewa mkuu....

Je unakubaliana na wale wanaomponda Mourinho kwa kuwapa majukumu mengi wachezaji hasa la ukabaji na kushambulia Huku ukimuangalia Hazard anavyoyatekeleza haya yote vzr na ukilinganisha na saga la Juan Mata?
 
Nimekuelewa mkuu....

Je unakubaliana na wale wanaomponda Mourinho kwa kuwapa majukumu mengi wachezaji hasa la ukabaji na kushambulia Huku ukimuangalia Hazard anavyoyatekeleza haya yote vzr na ukilinganisha na saga la Juan Mata?

Ntuzu mwaka wenu huu,mko vizuri yaani hadi nimejaa wivu moyoni,dah!
 
Ntuzu mwaka wenu huu,mko vizuri yaani hadi nimejaa wivu moyoni,dah!




Hahahaaaaa mkuu juve2012 Karibu sn rafiki yangu...! Tunaona bora kujichimbia Huku ktk michezo angalau tunapata story nyepesi nyepesi sio kule kwenye ESCROW na Ripoti ya PAC na Majibu ya Serikali kupitia Waziri Muhongo...! Ni kizunguzungu tu..!
Yah timu iko vzr mkuu Ngoja tuone na kwenye UEFA tutafanya nini maana EPL Karibu biashara tunaimaliza nusu..!
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa mkuu....

Je unakubaliana na wale wanaomponda Mourinho kwa kuwapa majukumu mengi wachezaji hasa la ukabaji na kushambulia Huku ukimuangalia Hazard anavyoyatekeleza haya yote vzr na ukilinganisha na saga la Juan Mata?

kila kocha ana style yake....na si kila mtu atakubaliana na hio style yake....kocha ndie anaepanga mchezaji acheze vipi not the other way round...kama huwezi kucheza kama kocha anavyotaka utaondoka au utaondolewa
 
kila kocha ana style yake....na si kila mtu atakubaliana na hio style yake....kocha ndie anaepanga mchezaji acheze vipi not the other way round...kama huwezi kucheza kama kocha anavyotaka utaondoka au utaondolewa


Majibu mazuri RRONDO

Have a good day man..!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu haya mapinduzi ayafanyayo Mourinho darajani watu watakuja kuyakubali tutakapoingia nusu fainali UEFA na fainali yenyewe. utapigwa mpira mkubwa mpaka watu watatujua kwa sasa tunacheza mpira utokao nje ya sayari hii. kwa sasa wanaona tupo tupo tu tunashinda na kwenda. wanatukubali kidogo kidogo. Ila wakati muafaka ukifika na wakati huo cohesion ya timu ishakuwa kubwa sana watu wanapeana mapande bila hata ya kuinua uso ndipo watatukubali. na kizuri ni kuwa vijana wenyewe watakuwa wanayafanay haya mambo huku wakifurahia kuucheza mpira. magoli yatakuwa kama vile yanaumbwa kumbe watu wanayatengeneza na kuyafunga. Yani kikubwa hapa ni kuomba uhai tu, tushuhudie tunavyokwenda mbali!

Chelsea ndio Sisi!!!

Mkuu kila navyosoma post zako lazima nitabasamu, big up sana.
 
Ni kweli mkuu...! Kuna mapinduzi makubwa sn amefanya na anafanya Huyu Mourinho.... Ngoja tuone mambo yatakavyokua...!

Kinacholeta burudani zaidi ni kuwa Maurinho mwenyewe anaipenda Chelsea na sasa anafanya vitu sio tu kwa moyo lakini pia kwa mapenzi ya dhati. na hana mpango wa kuondoka. yani zile za mtu kusema nimefika hapa. na uzuri ni kuwa Abrahamovic pia kaona kuwa Maurinho ni human resource adimu na haipatikani hovyo mababarani. na kwamba akitaka mafanikio ya kweli, lazima wawe pamoja. wote wana malengo yanayofanana. ushindi na sio tu ushindi, ushindi mkubwa. Maurinho lazima apate makombe. na sasa anataka makombe yote ayajaze Stamford Bridge. Abrahamovic nae anataka makombe, na of course faida ambayo inaletwa na hayo makombe. This marriage is fantastic.

Yani hapa ni vijana tu wawe tayari kutumika. na tazama akina Oscar, Willian, Hazard wanavyocheza. wanacheza kwa furaha na determination za ajabu. yani watu wanajituma utadhani wameahidiwa kuingia peponi baada ya mechi! na hawa bado vijana wadogo sana. they are still growing. Imagine Chelsea ya hawa watoto at 27 itakuwaje!!!

Ukitaka kuona timu ilivyobadilika, linganisha mfumo wa sasa na ule wa awamu ya kwanza ya Maurinho darajani. enzi zile timu ina mijitu mikubwa, akina Crespo, Njitap, Lampard, Drogba etc. walikuwa wanaume wa shoka. wakiwa kwenye mstari unaona watu wakubwa kweli kweli. lakini Chelsea ya sasa ina mchangayiko huku play makers wakiwa sio physique kiasi hicho. sokuna bonge la mchanganyiko wa uchezaji. speed, penetration, dribbling, crosses hasa za chini, pace setters na even penalties. Na hizi engine ili ziweze kupenetrate lazima zipande na zishuke kukaba ili kufungua mianya kwenye defence za maadui. yani kwa kifupi kwa jinsi tulivyo, ukipaki basi tunakufunga, uki counter attack Matic atakuzuia na utakuwa umejifungulia njia.

as long as Maurinho is here, sioni ni kwa jinsi gani tutasimamishwa na especially English teams kwa sasa! itabidi na wao waanze kujibadili sana ndani ya timu zao kuweza kuleta upinzani wa maana. vinginevyo hata mwakani tutawaacha zaidi ya hivi tufanyavyo sasa!

Chelsea ndio sisi!!!
 
Manumbu hoja zako ni nzuri sn mkuu...! Unagusa kila kitu Yani hauachii kitu mkuu..!

Inapendeza sn kuona michango na hoja Km zako mkuu..!
 
Last edited by a moderator:
Asanteni sana wadau kwa compliments. Yaani kuna hiki kitu moyoni kuhusu chama letu kwa sasa naona mambo makubwa sana yanaitokea mpaka nashindwa kuyaandika. natamani niandikee weee...basi tu!
 
Ngoja niongeze kitu kuhusiana na Drogba! I believe kama msimu uliopita tungekuwa nae, tungechukua ubingwa. zile chances zilizokuwa zinapotezwa na Torres na wenzake, kwa Drogba zingekuwa magoli. Tatizo tu ni kuwa angetumika sana na kwa umri wake huenda angepata majeraha.

Naamini pia kuwa sababu nyingine ya Maurinho kumrudisha darajani ni walau awe na stiker aliyemzoea na anaye elezwa lugha ya Maurinho. Ndio COsta alikuwa anakuja na yeye ndo angekuwa striker namba 1. lakini pia huwezi kujua mambo ya mpira. Torres aliingia Chelsea akiwa na CV kubwa toka Liverpool. Lakini output yake darajani haikufikia mategemeo. hivyo hivyo mifano ya akina Crespo, Shevchenko nk. so kwake Maurinho, Drogba alikuwa mtu muhimu sana, just in case strikers wake wakichemsha. kumbuka pia Remy alikuwa mwisho mwisho kabisa na bado huyu anatoka level ya chini kidogo so will need time ajengwe na apikwe to the required standards. Nadhani hili nalo linaweza kuwa akilini kwa Maurinho wakati anamsajili the Drog!!!!


Kuna watu walimbeza sn Drogba na wengine wakaanza kudai kua hawezi kufikisha magoli ma4 msimu Huu Lkn tunaona anapiga magoli tu na kufanya astst pia, nini maoni yenu kuhusiana na hili wakuu....

Njoo tupige story kidogo..!

Cc: agosti 8 Viol Skillionare Manumbu Mentor kalou kunguru mjanja Grand PA na rafiki zetu EMT Mourinho RRONDO Malafyale Nzi Mbu
 
mimi siangalii Fab anachokisema,he is a pro anajua kuongea....mimi naangalia anavyocheza,sijamuona akikaba khiivyo,namshangaa Wenger kwa kumuacha huyu Fab aende chelsea ni matatizo tu

RRONDO u r right. lkn kwa mtu aliyemwona Fabregas akiwa Barcelona angemwona kama mchezaji peripheral na sio key. alikuwepo kuwepo tu. ndio mchezaji mzuri lakini sio muhimu. na nadhani ndicho kilichomfanya Wenger asione umuhimu wa kutumia contractual right yake ya kuanza kumchukua.

ni tofauti na Maurinho. Tayari alikuwa na formula ya jinsi anavyomtaka acheze. ndio maana alimfata yeye mwenyewe personally, wakakaa na Maurinho akamweleza jinsi anavyomtaka na jinsi atakavyomtumia kwenye formation yake mpya. na alichosema Maurinho ndicho kinachoonekana uwanjani. Talking about having a picture of what you want to achieve...ambayo kwa ufupi inakuwaga ni work of a genius. No wonder Fabregas is a happy fella na anamshukuru Maurinho kwa hilo.

Chelsea ndio sisi!!!
 
Didier Drogba on Chelsea: 'This team will only be good if it wins titles and big trophies'

"I think Chelsea have the chance to say we had great teams in terms of spirit (in the past), a machine in terms of hard work and efficiency," Drogba said, according to the Guardian.

"This one is efficient too, but with the attacking players, the passing rate and quality of passing is higher. We have more creative players, which makes it maybe better to look at. Either way, the most important thing is to win titles, so this team will only be good if it wins titles and big trophies.

"Then we will be able to compare it with previous sides."



http://http://www.thescore.com/epl/news/641409
 

Attachments

  • w640xh480_REU_2150699.jpg
    w640xh480_REU_2150699.jpg
    42.1 KB · Views: 71
Kesho vs Sunderland tunahitaji pointi 3.

Tunahitaji kufikisha pointi 35 kesho.

kama mnafuatilia mie siku hizi nakutaja kutaja mikakati yetu; sina muda na akina Malafyale.

CHELSEA FC - FOREVER BLUE.

CC. Ntuzu, Manumbu, Mentor, Viol, mtoto wa Mbagala Grand PA, kunguru mjanja, kalou, na CHELSEA FANS wote..heshma kwenu wakuu
 
Kesho ni lazima zipatikane point 3. NI LAZIMA. Hawa Sunderland ndio timu pekee kumfunga Maurinho Stamford Bridge ktk games 82. So tuna hasira nao sana sana. Zile mvua za Schalke lazima ziwashukie na hawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom