Huyo mtu aliyepo customer service lazima ni mmoja kati ya waliochora Zombies kwenye mitihani. Hicho kichwa ni shake before use. Hakuna kitu kabisa. Mtu anauliza swali serious kabisa, kwamba mita haibonyezeki anaambiwa agonge na nyundo? Duh, labda hiyo nembo ya TANESCO inatumiwa na mhuni!